Yaani sikufahamu hunifahamu ila ninakupa big up kubwa sana kwa andiko hili juu HUYU Julius Mtatiro sijui huyu jamaa kabila gani ana mtima nyongo wa kukosa ubunge anabaki anaitukana Serikali as if ndo ilimnyima ubunge yaani hata sijui yukoje huyu jamaa,sijui anataka uhuru gani matusi na...
Na maaskofu wenzake na watumishi mbalimbali wa Mungu nao wanamshangaa kukaa kimya kwa matukio kama vile lile la Kibiti na hata watoto kutekwa na ajali ya Watoto wetu wa Lucky Vicent yuko kimyaaaa amekuja kuibikia hili, Aisee Askofu Mungu anakuona!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Padri aliishiwa ujumbe wa NENO LA MUNGU? Badala ya kuwasaidia waumini wake kwa kuwapa mbinu mbalimbali za kupambana na mwovu ibilisi anashadadia mambo ya kisiasa hajui kuwa anampa nafasi ibilisi, Mungu alikuchagua kumtumikia kwa kulihubiri neno la Mungu sasa wewe unaacha uliyoagizwa...
Aisee pole sana tena ninakupa pole,kwa hiyo ndo itakuwa sera( mabango),Yaani hakuna kipindi kigumu kama cha uchaguzi mkuu wa 2020 kwa wapinzani tangia siasa za Tanzania na uchaguzi wa vyama vingi uliopoanza ,yaani wapinzani mna hali mbaya kuliko maelezo jipangeni kisaokolojia kushindwa kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.