Very true na Hata jana Trump amefurahi kuona China wamekubali kununua soya beans Ya Marekani ya thamani ya $10 billion. Wakulima wa Marekani walikuwa wanahaha baada ya uhasama Kati Ya Marekani na China kwa kuwa mnunuzi mkubwa WA mazao Ya ni China. They depend on each other but US anamuhitaji...
Urasimu usio na maana ndiyo unaodhoofisha uwekezaji Tanzania. Kuna Wenye mamlaka katika Kutoa vibali and so forth ambao very possible wanafanya haya kwa makusudi Au kwa maelekezo ili kudhoofisha hili shirika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.