Recent content by nchweke

  1. N

    JamiiForums Tanzania Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!

    Butwaa watakalopigwa ufipa,tarehe za mwanzoni kabla ya mei mosi mwakani,bila shaka lita mstaafisha mbowe na siasa uku akiwa amebaki kapuku, kitu pekee atakachokuwa anajifunia ni madeni anayoidai Chadema, wakati huo chama kitakuwa na mwenyekiti anayetambuliwa na mahakama kama sio msajiri.Kuna...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa.

    Nyumba inauzwa ipo mbagara charambe,ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na sebule dining na jiko.iko ndani ya fence.bei millioni arobaini na mbili tu.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nyumba inapangishwa T/Kisukulu

    Mkuu nyoosha maelezo
  4. N

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro: Tusipojirekebisha tutatafuta mchawi bila mafanikio

    Eti makala imeandikwa na Jerry muro. Ujinga mtupu ulichokiandika akieleweki, umeandika Maelezo kama ya mwanafunzi wa darasa la saba.Au ya mtu mwenye njaa kali, unatafuta sababu ya kupambana na Kubenea, hao wote ulio wataja sio saizi yako ww pambana tu na njaa yako.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 90. Wadaiwa kumlisha Rais Magufuli maneno

    Umpendei nn uyu mzee muungwana na mzalendo. Au alichapa mkeo na mwanao.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Viongozi/madiwani wa CHADEMA Ikungi wanashikiliwa na polisi kwa kufanya mkusanyiko bila kibali

    Kule utakaa usikie lolote, kuna wale wanaopenda kuvaa vikofia vyekundu,wale wenye kiongozi wao ana jina la Samaki mkubwa baharini,walichapewa mabakuli yaliyojaa minofu na mwenzao, sasa wako bize kutafuna, hawana habari na kanyama ka kondoo aliyekonda. Na wale wengine wa vibagalashia wameshapewa...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Pole sana Tundu Lissu, Mungu akuponye!

    Nipo pamoja na wote wanaomuombea Mh tundu lisu apate kupona arudi kuwatumikia watanzania Sent using Jamii Forums mobile app
  8. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anataka wapinzani washugulikiwe kwa kuropokaropoka, anarudia yale yale ya Mkapa

    Yametoka leo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli akutana na viongozi wakuu na wastaafu wa vyombo vya ulinzi na usalama

    Pole Sana, kwaiyo serikali yenu mtu akitoa mawazo yake anafinywa?!!! Akili za wa Africa weusi!! Mawazo yao ni kuua na kupoteza tu. Haya mkisha mfinya na kumpoteza mnafaidika nn?!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. N

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu alonga mambo mhimu na makubwa juu ya yaliyotokea Kenya

    Jitokeze mbele wewe mwenye msimamo tukuone, sio unajificha nyuma ya keyboard uku kiunoni umevaa shanga. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu alonga mambo mhimu na makubwa juu ya yaliyotokea Kenya

    Sioni Hilo likitokea kwa Tanzania hii ambayo, wananchi wake wanashangilia kauli za watawala za kutaka matajiri waishi kama mashetani.watanzania maskini wamezoea kuishi kama mashetani, wala hawatakubali mabadiliko yeyote. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. N

    JamiiForums Tanzania Katika Miaka 12 ya kifo cha Mpenzi wangu,ningependa kumshukuru Mume wangu

    Mkuu muombee tu dua, madamu kasema naishi vema na ana furaha basi inatosha. Utukufu ni wa MUNGU Sent using Jamii Forums mobile app
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

    Ww kama mzaliwa wa uko umechukua hatua gani, kuleta matokeo chanya?! Ivi hadi usafi tu mnasubili serikali?! Poor wahaya. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mtatiro: Hatua za Bunge, Lipumba na msimamo wangu! Na maajabu ya Bunge na serikali ya CCM

    So sad Mtatiro, why mnashindwa kurudisha mpira kwa wenye Chama. Adui kashavuka mipaka askari wanakufa, nyie mpo kwenye propaganda za "adui tushamdhibiti" Sent using Jamii Forums mobile app
  15. N

    JamiiForums Tanzania Looking for my future wife

    Mkuu toka form 1 mpaka college ujaona bado mwanamke wa kuoa?!! Ebu fungua mafaili yako ya nyuma kwanza maana ninvyokujua ujawahi kuwaacha mademu salama wote waliopita mbele yajo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom