TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

8deecb8ea0b8d3ae507153602e92595c.jpg
5acc193b97a097c423797ce73c71c2ae.jpg
f4869328f6d8274fb4c8a3da620a3fe3.jpg
76c7fc4d02c5e8188c6274877230b830.jpg
7d539f1090639cd675b4dba5ef1544f5.jpg
c7cf1188ea5e4f3226b653e775b6b280.jpg
7aad946e106874fe6c43d716ab652277.jpg
cd17da2b44d66b27b86ad5da262a6fcf.jpg
84ae8d62f23f0520ca2691ee89795e78.jpg
0e46f49fd19784f463b795ee0828d431.jpg
fc7ba5999040b0cd18b3b9289d9c1b45.jpg
fad79f2fa533eaabe47f31d438383824.jpg
de1f541b682bc48b952ea0121791db14.jpg
b901614e3703a268ad261bc3294ae3a2.jpg
c69c39ef00c00105587d572ee620585a.jpg
f0397b1f7a96f1d11053c1fba4c5dfbc.jpg


Kikao cha kuhitimisha mradi wa TUSHIRIKISHANE jimbo la Bukoba Manispaa kilichofanyika tarehe 21/7/2017 kikiwakutanisha Jamii Media, Ofisi ya Mbunge, Halmashauri na wananchi kujadili kwa pamoja hatua zilizofikiwa katika vipaumbele vinne vya TUSHIRIKISHANE ambavyo ni ahadi nne za mbunge, changamoto na mafunzo yaliyotokana na mradi huu katika jimbo la Bkoba Mjini.

Ripoti kamili itawekwa hapa baada ya kukamilika.
 
??????????. Cha kuhitimisha? Ngoja tuone tunahitimu cheti chetu kikiwa na A,B,C,D ama F
 
Jamii Media imeendesha semina ya Uendeshaji na Usimamizi wa Mijadala Huru (Meza ya Duara) katika Manispaa ya Bukoba leo tarehe 25/7/2017 ikiwa ni sehemu ya mradi wa Tushirikishane. Washiriki wa semina ni wajumbe wa vijiwe mbali mbali katika manispaa ya Bukoba na muwasilishaji alikua ni ndugu Wistone Mogha kutoka Kigoma - Ujiji ambao ndio waanzilishi wa Meza ya Duara. Mwitikio ulikua ni mzuri tunategemea kuanzishwa kwa Meza ya Duara ambayo itakua chachu ya mijadala huru katika manispaa ya Bukoba

66fbea073c8bcbfa6a1e27d08ab12a3f.jpg
18d3d19b5c9bc29e21f89d4dfcffd143.jpg
fccf7ee6ae0db3adce5630f87a98fef6.jpg
98abd3ee248196509fed7078e0ab407c.jpg
a742b3221a6e7fd9c8c80328d35d6bf9.jpg
e0c9c3ecf588b46cb48c847741a55c41.jpg
b9abf4a5799334f0a1f8f62f4d5113b7.jpg
70dd1cfef68bac033eb9c2e55bb9dfee.jpg
dbbc7d70c4fe206e48c9f3297b08f8cb.jpg
c5253a2732385d0c92d463f66276865b.jpg
6a187a0163c8167ce1e52963efcb3ac4.jpg
7f0c6d513781cafbfbc48c337ae8e9d5.jpg
a21955d150c6501a56ab3c9edf3a1863.jpg
642bfa4ccfe21d7f5b7353f280d8fc3d.jpg
99bee4b12d2f55a16efc0eccb4222bbb.jpg
d2b6f0c3abfbaf115ddd6e20413e9869.jpg
1752c6c4c84134b7a646817637712788.jpg
89994be2b11b1a7ffa18679b1e403f01.jpg
4a516702102f7c82e0bcccf9f424aa56.jpg
6d2f2e78cad2a9611b1237a28a99fa86.jpg
 
Leo tarehe 26.07.2017 mbunge alikuwa na mkutano maeneo ya soko kuu mbona hatupati mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za mkutano huo;
303a7fef078617d501b7b24aaf093d24.jpg
7b2e4c9cbec54453d43e314b33aead35.jpg
 
Mkuu hii ni Tanzania yetu sote bukoba ni sehemu ya Tanzania hivyo tumeanzisha mjadala huu kuikumbusha serikali wajibu wake.Na wewe haukatazwi kuanzisha Wa kwako hakuna sehemu ya tz ambayo haina matatizo nadhani umenielewa
Ww kama mzaliwa wa uko umechukua hatua gani, kuleta matokeo chanya?! Ivi hadi usafi tu mnasubili serikali?! Poor wahaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww kama mzaliwa wa uko umechukua hatua gani, kuleta matokeo chanya?! Ivi hadi usafi tu mnasubili serikali?! Poor wahaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahaya for what mdau? Kama huwataki si unaachane nao kiroho safi tu ama wamekufata wakaja kukuomba msaada?

Shughurikia ya kwako na waachie hao unaowaita "wahaya" wafe na ya kwao. Jali sana mda wako binafsi kuliko ya hao unaowaita "wahaya".
 
Mradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Bukoba mjini chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Mbunge Wilfred Lwakatare.

Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Bukoba mjini.

Ahadi walizochagua kufuatilia wananchi wa Bukoba mjini kwenye mradi wa TUSHIRIKISHANE

a. Ujenzi wa soko kuu la Bukoba, soko la Kashai na Stendi kuu ya mabasi Bukoba

b. Mikopo ya vikundi vya kijasiriamali vya akina mama na vijana

c. Urasimishaji wa makazi

d. Bima za afya kwa wananchi angalau​

View attachment 389799
Meya wa Manisapaa ya Bukoba, Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini na Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media wakisaini makubaliano ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Tushirikishane


Mada hii itatumika zaidi na Wana Bukoba kutupa taarifa.

Baadhi ya Washiriki watakuwa:-

1. Mh. Mbunge Wilfred Lwakatare
2. Katibu Alex Xavery (Katibu)
3. Happiness Essau (Afisa habari Bukoba)
4. Chief Karumuna (Mayor wa Bukoba)
5. Jimmy Kalugendo (Naibu Mayor)
6. Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Bukoba mjini.

Karibuni...

[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Bukoba[/HASHTAG]

Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"

======
UPDATE: 1st December, 2016.

Waendeshajinwa mradi wa [HASHTAG]#TUSHIRIKISHANE[/HASHTAG]. Wanawaalika wana tushirikishane katika kikao chetu kwa pamoja kinachotarajiwa kufanyika mnamo tarehe 02/12/2016 katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa Bukoba kuanzia saa nane za mchana.

Ufunguzi rasmi wa kikao utaanza saa tisa kamili bila kujali idadi ya wajumbe.

Kuwahi ni muhimu sana, kuhudhuria kwako ndiyo mafanikio ya taarifa nyeti za halmashauri kuwafikia wananchi moja kwa moja.

Mchango wako wa maoni, maswali, na hoja mbalimbali ndiyo chachu ya maendeleo ya jimbo letu.

Kumbuka wewe ni mwakilishi wa mamia, nao wanakutegemea bila kujua, tenda haki na Mungu atakulipa kwa namna yake.

Njooni tupate kujua miradi yetu imepiga hatua kwa kiwango gani mpaka sasa.

Waweza kukili kuhudhuria kwako kwa msg fupi kwenda namba 0765 82 92 56.

Taarifa hii mfikishie na mwenzio.

Asanteni sana na Mungu awabariki.⁠⁠⁠⁠

=====

Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:

Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos

Tushirikishane | Facebook

Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
Hivi waislam wa Bukoba mjini kama Alhaji Kichwabuta na wengine wako wapi? Au mnawatenga? Washirikishe
 
Jamii Media imeendesha semina ya Uendeshaji na Usimamizi wa Mijadala Huru (Meza ya Duara) katika Manispaa ya Bukoba leo tarehe 25/7/2017 ikiwa ni sehemu ya mradi wa Tushirikishane. Washiriki wa semina ni wajumbe wa vijiwe mbali mbali katika manispaa ya Bukoba na muwasilishaji alikua ni ndugu Wistone Mogha kutoka Kigoma - Ujiji ambao ndio waanzilishi wa Meza ya Duara. Mwitikio ulikua ni mzuri tunategemea kuanzishwa kwa Meza ya Duara ambayo itakua chachu ya mijadala huru katika manispaa ya Bukoba

66fbea073c8bcbfa6a1e27d08ab12a3f.jpg
18d3d19b5c9bc29e21f89d4dfcffd143.jpg
fccf7ee6ae0db3adce5630f87a98fef6.jpg
98abd3ee248196509fed7078e0ab407c.jpg
a742b3221a6e7fd9c8c80328d35d6bf9.jpg
e0c9c3ecf588b46cb48c847741a55c41.jpg
b9abf4a5799334f0a1f8f62f4d5113b7.jpg
70dd1cfef68bac033eb9c2e55bb9dfee.jpg
dbbc7d70c4fe206e48c9f3297b08f8cb.jpg
c5253a2732385d0c92d463f66276865b.jpg
6a187a0163c8167ce1e52963efcb3ac4.jpg
7f0c6d513781cafbfbc48c337ae8e9d5.jpg
a21955d150c6501a56ab3c9edf3a1863.jpg
642bfa4ccfe21d7f5b7353f280d8fc3d.jpg
99bee4b12d2f55a16efc0eccb4222bbb.jpg
d2b6f0c3abfbaf115ddd6e20413e9869.jpg
1752c6c4c84134b7a646817637712788.jpg
89994be2b11b1a7ffa18679b1e403f01.jpg
4a516702102f7c82e0bcccf9f424aa56.jpg
6d2f2e78cad2a9611b1237a28a99fa86.jpg
Hivi stendi na soko vimefikia wapi?
 
Miezi tisa iliisha kwa majungu na mbwembwe. Yaani Bkb hata akija malaika hapo hatoboi kwa umbwiga ulioko hapo. Nawaona ndugu zangu wengi badala ya kuweka vikao na kujadiliana haya mambo kama wananchi wao kutwa wako fb wanaweka vipicha vyao na kuishia kusalimiana, matatizo yote hayo na bado mnatanua fb kuongea umbea wakati mji wenu ni kama machinjioni!!?? Ukiona watu wanaendekeza sana starehe na mambo ya mzaa kiasi kile wakati jahazi lao linazama basi ujue uwezo wao wa kufikiri uko chini ya wastani. They are simply abnormal. Akili zetu watu kutoka mkoa huu sahivi zinatia mashaka makubwa sana na uenda kweli tatizo la utapiamlo linalosemwa kila siku limetuathiri sana

Ni kweli viongozi ni mizigo ila wananchi ni magunia ya misumali kwa sahivi
Unafiki wa wanakagera na bukoba ni kwamba hawajui ni nan hasa anaweza kuwakwamua,

Lwakatare huyu huyu aliyeshindwa na kula hela ya michango ya abana bashome ndo mnategemea mazuri kwake?

Ngoja tusubiri ntarudi hapa miradi ikianza
 
Back
Top Bottom