Happiness Essau
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 166
- 100
Kikao cha kuhitimisha mradi wa TUSHIRIKISHANE jimbo la Bukoba Manispaa kilichofanyika tarehe 21/7/2017 kikiwakutanisha Jamii Media, Ofisi ya Mbunge, Halmashauri na wananchi kujadili kwa pamoja hatua zilizofikiwa katika vipaumbele vinne vya TUSHIRIKISHANE ambavyo ni ahadi nne za mbunge, changamoto na mafunzo yaliyotokana na mradi huu katika jimbo la Bkoba Mjini.
Ripoti kamili itawekwa hapa baada ya kukamilika.