Recent content by NCHI YETU

  1. N

    IKULU: Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya Pili ya Mchanga. Waliosaini Mikataba Wakaangwa

    Mh. Rais ametangaza vita ya uchumi tumuunge mkono, katika timu , mfano football, hakuna mtu anayemfunga goal keeper wake, hivi katika hili sote kama watanzania ni wachezaji wa timu moja mh. Rais ni kiongozi tumpe ushirikiano ili kushinda vita hii mapema. Ushindi upo, Mungu Mwenyezi aliye...
  2. N

    Lowassa kaungame dhambi zako kwa mchungaji Vernon Fernandes wa Agape

    no one is perfect but God alone , kila mtu ana dhambi.
  3. N

    Tundu Lissu chukua hatua kali dhidi ya Radio Free Africa (RFA)

    ​hii ni redio ya chama au biashara! kuna maisha baada ya uchaguzi, zingatia good reputation.
  4. N

    MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

    ameshaona dalili ya kuanguka, watu wazima wanajua kusoma nyakati.
  5. N

    JamiiForums kwenye 360 Cloudstv, Tazama sasa

    max unachosema ni kweli pinzani.
  6. N

    Mafuriko ya kutengeneza yana madhara makubwa

    artificial flood ina nuksi, bila shaka hayana baraka. umesema na kushauri vizuri.
  7. N

    Humphrey Polepole, vipi Katiba Mpya huihitaji tena!?

    ndo anatusaliti, kazi anayofanya si bila posho.
  8. N

    Lissu amepata wapi ujasiri wa kumshambulia Dr. Slaa na familia yake?

    mtu anaisaport ccm lazima ni mnafiki au ana maslahi au baba yake ni kiongozi au ataipa ukawa kura yake 25 oct 2015
  9. N

    Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

    tido mashine kubwa, siyo kanjanja.
Back
Top Bottom