Kwa maoni yangu Roma ni Natural Being
Kwa huu wimbo amezungumzia kwa upande wa uhai na kifo. Amejikita kwenye uhai na kifo. Kwamba hatma ya uhai ni kifo na kinaweza kuwa na mazingira tofauti lakini mapokeo yake ni ya aina moja. Na hutokea sio kama adhabu bali ni jambo asili linatokea kwa...
Kuna kakijiji jirani na nilipo bei viazi mviringo imeshuka toka 50elfu mpaka 14000 na mbolea naadawa walinunua ghali sana. Wanasema mama kahusika kupolomosha bei ya zao lao. Ukiongea habari za Bi mdashi unaweza pigwa kwenu likarudi jina tu.
Haaahaaaa umeshajua kuwa wa moja hapati mbili basi unadhani wote. Wajumbe walikunyima kura ukatoka na kura 1 ya kwako. Hakikika kama mwandishi nguli utakuwa na historia ya kipekee sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Salaamu, Kwanza niwapongeze vyama tajwa kwa mwitikio mkubwa vinao upata kutoka kwa wananchi kwa muendelezo wa kampeni zinazoendelea tofauti na mategemeo ya watawala.
Wote tunajua maelekezo yaliyotolewa na tume ya uchaguzi kuhusu uwepo wa karatasi za ziada za katika vituo vya kupigia kura. Tume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.