Machinga wanapangwa kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam
Tunaomba zoezi liishe kwa usalama na amani bila kuacha chuki.
Mkuu wa mkoa akifanikiwa hili basi nashauri Tanzania nzima waige mpango wake.
Kwa ushauri wangu huyu Mama apigwe chini kabla ajatengeneza makundi ya wezi ukiona jk ameanza kumsifia ujue tayari tumepigwa
Akigombea 2025 ndio itakuwa mwisho wa ccm tunza hi kwenye kumbukumbu.
Anaweza hata asifike hiyo 2025 yaani baada afanye kimya kimya yeye anaropoka kabisa
Halafu naliona kabisa anguko la ccm 2025 Kama huyu Mama atasimama nampinzani mwenye nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.