Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Aisee taifa limeingizwa cha kike.
Huyu mama hajazungumzia sheria wala taratibu.Wakivunja sheria na taratibu wachukuliwe hatua tu.
Bogazi kabisa huyu Mama ni takatakaUvunjifu wa amani according to who?
According to CCM?
Huyu mama naona hana akili
Waziri, tunaye...Septemba 16, 2021
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hatakuwa tayari kuvumilia Vyombo vya Habari na Waandishi watakaoandika habari za kutaka kulichafua Taifa...
Dada ana haraka sana ! ni vema angewauliza waliomtangulia yaliyowakuta na walikoishia .Septemba 16, 2021
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hatakuwa tayari kuvumilia Vyombo vya Habari na Waandishi watakaoandika habari za kutaka kulichafua Taifa...
Asisahu kushoto inakwendaga sambamba na kilia, uzito ukiegemea upande 1 mtumbwi unapinduka.Septemba 16, 2021
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hatakuwa tayari kuvumilia Vyombo vya Habari na Waandishi watakaoandika habari za kutaka kulichafua Taifa...
Ndugulile hajashindwa, misimamo yake ndo huwa inamtoa kwa position hizi za kuteukuwa.Yaani anawasha gari anaweka gia namba 5 ili aanze safari😂😂😂
Huyu hana maisha marefu kama kashindwa Dr Ndugulile atakuwa huyo?
Jiulize kwa nini Taleban hawataki wanawake wajichanganye na wanaume ktk uongozi huko kila idara kiongozi ni mwanaume (kichwa)Hii nchi wanaume tunapenda kulelewa... Kama hadi ulinzi nao anasimamia mama basi tena!
Kilichobaki waziri mkuu apewe mwanamama biashara yisheeee
Walifungia pilau, wakasahau VPN zinafanya kazi balaa 😅😅Septemba 16, 2021
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hatakuwa tayari kuvumilia Vyombo vya Habari na Waandishi watakaoandika habari za kutaka kulichafua Taifa.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akifungua mafunzo ya Kamati ya Ukaguzi ya Wizara hiyo jijini Dodoma.
"Lazima katika utendaji kazi wa Waandishi wa Habari watangulize uzalendo kwa Taifa."
"Niwahakikishie, sitakuwa mvumilivu kwa yeyote atakayejaribu kufanya hivyo kuandika habari zenye viashiria vya Uvunjifu wa Amani, tutachukua hatua," amesema.
Chanzo: Dk. Kijaji avipiga mkwara vyombo vya habari
Hii wizara haina job description. Yaani kila waziri ana kuja na swaga zakeSeptemba 16, 2021
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hatakuwa tayari kuvumilia Vyombo vya Habari na Waandishi watakaoandika habari za kutaka kulichafua Taifa.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akifungua mafunzo ya Kamati ya Ukaguzi ya Wizara hiyo jijini Dodoma.
"Lazima katika utendaji kazi wa Waandishi wa Habari watangulize uzalendo kwa Taifa."
"Niwahakikishie, sitakuwa mvumilivu kwa yeyote atakayejaribu kufanya hivyo kuandika habari zenye viashiria vya Uvunjifu wa Amani, tutachukua hatua," amesema.
Chanzo: Dk. Kijaji avipiga mkwara vyombo vya habari
Mtu amwambie hyu Mama Kijaji, mkamia maji hayanywi.Septemba 16, 2021
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Ashatu Kijaji amesema hatakuwa tayari kuvumilia Vyombo vya Habari na Waandishi watakaoandika habari za kutaka kulichafua Taifa.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akifungua mafunzo ya Kamati ya Ukaguzi ya Wizara hiyo jijini Dodoma.
"Lazima katika utendaji kazi wa Waandishi wa Habari watangulize uzalendo kwa Taifa."
"Niwahakikishie, sitakuwa mvumilivu kwa yeyote atakayejaribu kufanya hivyo kuandika habari zenye viashiria vya Uvunjifu wa Amani, tutachukua hatua," amesema.
Chanzo: Dk. Kijaji avipiga mkwara vyombo vya habari
Akili zake hazina akili, kama mwanasesere wa Polepole.Huyu mama naona hana akili