Watu wakiambiwa Urusi dude kuubwa hivi hawataki kuelewa. We mtu ana mabomu ya kizazi kipya yenye kasi na mifumo ya ulinzi. Yaani bomu halafu Lina mifumo ya kujilinda lisitunguliwe.
Wao wamepewa uwanja waongee Bungeni wanaogopa wanakuja kuleta majungu Ili wananchi mpambane wao waendelee kula posho za burebure pumbavu sana . Kama kweli wanajali wananchi Kwa nini wasijilipue na ubunge wenyewe waukose tujue wanajali wananchi. Tatizo asilimia 60 ya wabunge walipata Kwa mbereko...
Una umri gani? Aisee kuna shida kwa Vijana wetu katika kujumlisha na kutoa katika mambo yanayoendelea ulimwenguni. Russia anapigana na nchi zaidi ya 32 hapo.
Muda mwingine mkiwa mnasoma taarifa kama hizi muwe na tafakuri. Mmeambiwa kuanzia cheo Cha Kanali kinahitaji ushahidi ndio atuhumiwe, unadhani ukilichukua swala kama hilo kichwa kichwa utaleta picha gani Kwa Waandamizi wengine kama yeye.
Kwa mikombora ya Urusi hiyo mimeli ni kama majeneza yanayotembea.... Kinzhal imemfanya mpaka Rais Macron wa Ufaransa kuona muda umefika Kwa Ulaya kujitenga na unafiki unaosambazwa na Marekani.
Mkiwa mnawajibu watu muangalie na upeo wao. Mnapoteza nguvu nyingi sana Kwa mtu ambaye hata kwa picha anashindwa kutambua kama zama za USA umefika ukingoni.
We ndo mweupe kabisa , Iran aliishusha moja kati ya Drone bora kabisa ya Marekani mwaka 2008 tena Kwa vidole, ndio ishindwe Kwa Urusi, we unaambiwa drone ilikojolewa Kwa mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabla haijapigwa kibao. Vita ilishaisha siku nyingi sana, kinachoendelea...
Maboko yalikuwa awamu ya TANO , ila kinachotokea Sasahivi ni wafuasi wa Hayati kupiga mayowe hawaamini kinachoendelea. Mh. SSH ndio Rais wavumilie nae atapita atakuja mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.