Recent content by navajo

  1. navajo

    Poland yatoa mlio baada ya makombora kuingia ndani ya Anga lake

    Watu wakiambiwa Urusi dude kuubwa hivi hawataki kuelewa. We mtu ana mabomu ya kizazi kipya yenye kasi na mifumo ya ulinzi. Yaani bomu halafu Lina mifumo ya kujilinda lisitunguliwe.
  2. navajo

    Mkataba wa Bandari, Wabunge wasema waliburuzwa

    Wao wamepewa uwanja waongee Bungeni wanaogopa wanakuja kuleta majungu Ili wananchi mpambane wao waendelee kula posho za burebure pumbavu sana . Kama kweli wanajali wananchi Kwa nini wasijilipue na ubunge wenyewe waukose tujue wanajali wananchi. Tatizo asilimia 60 ya wabunge walipata Kwa mbereko...
  3. navajo

    Rushwa iliyotolewa na Wizara ya Nishati yawapofusha wabunge, Kingu ni mmoja wao

    January January , hizo kelele mnazompigia ndio zinamuimarisha.
  4. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Una umri gani? Aisee kuna shida kwa Vijana wetu katika kujumlisha na kutoa katika mambo yanayoendelea ulimwenguni. Russia anapigana na nchi zaidi ya 32 hapo.
  5. navajo

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Muda mwingine mkiwa mnasoma taarifa kama hizi muwe na tafakuri. Mmeambiwa kuanzia cheo Cha Kanali kinahitaji ushahidi ndio atuhumiwe, unadhani ukilichukua swala kama hilo kichwa kichwa utaleta picha gani Kwa Waandamizi wengine kama yeye.
  6. navajo

    Je, hii silaha mpya ya Uturuki inakwenda kubadili sheria za mchezo?

    Kwa mikombora ya Urusi hiyo mimeli ni kama majeneza yanayotembea.... Kinzhal imemfanya mpaka Rais Macron wa Ufaransa kuona muda umefika Kwa Ulaya kujitenga na unafiki unaosambazwa na Marekani.
  7. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sio hawatumii akili , ndio uwezo wao ulipoishia. Na ndio kizazi kinacholindwa na Sheria ya haki za binadam . [emoji16][emoji16][emoji16]
  8. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkiwa mnawajibu watu muangalie na upeo wao. Mnapoteza nguvu nyingi sana Kwa mtu ambaye hata kwa picha anashindwa kutambua kama zama za USA umefika ukingoni.
  9. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    We ndo mweupe kabisa , Iran aliishusha moja kati ya Drone bora kabisa ya Marekani mwaka 2008 tena Kwa vidole, ndio ishindwe Kwa Urusi, we unaambiwa drone ilikojolewa Kwa mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabla haijapigwa kibao. Vita ilishaisha siku nyingi sana, kinachoendelea...
  10. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  11. navajo

    Rais Samia chunga kauli zako, unamtetea Mzee Makamba kwa kuteleza kauli nawe unarudia yaleyale

    Maboko yalikuwa awamu ya TANO , ila kinachotokea Sasahivi ni wafuasi wa Hayati kupiga mayowe hawaamini kinachoendelea. Mh. SSH ndio Rais wavumilie nae atapita atakuja mwingine.
  12. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Yaani sera za kijinga za viongozi wa Magharibi zinaenda kuwatesa sana watu wao siku za mbeleni. Na Nina uhakika Ulaya tunayoijua haiwezi kurudi tena.
  13. navajo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa Iki ulichoandika? Unadhani nani ndio anaehatarisha amani Duniani. Ndio maana tunaona Bora multipolar world.
Back
Top Bottom