Recent content by naulwa

  1. naulwa

    Niko Dilemma

    Fuata roho yako inataka nn Ila angalia Kama umpendae nae anakupenda kweli au anakutaman? Mpende akupendae asiekupenda...
  2. naulwa

    Upi ni muda sahihi wa kutafuta mwenza mpya baada ya kuachana na mwenza wa zamani?

    Inategemea na sababu ya kuachana kwenu,Ila pia haitakiwi kukurupuka sana kutafuta mpenz mwingine bila kutafakar Kama ww ndio chanzo cha kuachana kwenu au ni mwenzio, ili Kama ww ndio tatizo ujue unajirekebisha vp kabla hujaanza mahusiano mengine,
  3. naulwa

    Kuna mapenzi kweli hapa

    Baki Na msimamo wako usikubali kuzaa kabla ya ndoa Kama uwezo wa Kulea mtoto anao anashindwa nn kuoa ili mlee pamoja huyo mtoto? Huyo sio muoaji Na hata akikuzalisha jiandae kulea mtoto peke yako
  4. naulwa

    Keep your husband

    Thanx mwalimu277
  5. naulwa

    Je, ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

    Awe Na mtoto asiwe na mtoto cha kuangalia ni tabia yake tu. Unaweza ukaoa mwanamke asiyezaa Na bado akachepuka tu na Ma ex wake. Ww angalia moyo wako Kama umempenda kweli oa tu
  6. naulwa

    Haya mapenzi ya namna hii ni kwangu tu au?

    Kwann asitake upajue kwake? Huyo atakua anampenzi mwingine ambae ndio anapanga nae future,chakufanya ww mpige marufuku kuja kwako mwambie asije kwako mpaka akupeleke kwake.unatakiwa nawe uwe huru kwenda kwake Kama anavyokuja kwako
  7. naulwa

    Kuna wadada wa kazi ni wachawi na mawakala wa nguvu za giza

    maombi pekee ndio silaha ya kweli
Back
Top Bottom