Nafanya kazi na watu tofauti kutoka mikoani. Mimi napatikana Dar, Mbezi Mwisho watu wanaotaka kununuliwa mizigo au kufanyiwa shughuli zao kwa ufasaha angali wapo mbali.
Kwa msaada wa kitu chochote ndani la jiji la dar, nafanya kwa uaminifuu zaidi hautojutia kufanya kazi na mimi.
Mawasiliano...
Dhumuni langu langu la kutengeneza uzii huu ukawasaidie vijana wengii wenye mitaji midogo ambao wanahitajika wasonge mbele kimaisha.
Wana jamii tuleteni mawazo ya kujenga mwenye fursa, mwenye wazo aliletee mezani watu wanufaike. MTU MWENYE MTAJI WA CHINI YA MILIONI TANO ANAWEZA AKAFANYA...
Ndugu zangu habari zenu, bila kupoteza mudaa naitaji connection ya wafanya bishara za nafaka kutoka mkoani na kuleta dar wajitokezee waje tupeanee uzoefuu wa shughuli zinavyokwenda karibuni.
Natumaini wazima wa afyaa,Mm ni kijana wa Mika 29 ni mkazi wa jijini DAR nimejitokeza mbele yajukwaa ilii kuomba fursa ama connection yeyote ile ya kibishara Mana na amini kupitia jukwa ili Kuna watu wanafanya bishara mbalimbali.
Kilichonifanya niandike uzii huu ni nimetamani kuingia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.