Dr was right ule usanii ulipitiliza kwa mtu wa kariba yake hakukua na namna nyingine! I will respect him forever japo nlibaki na nlipiga kura yangu upande wa mabadiliko.
I will not marry until i find virgin na hiv navojijua kwamba am not among those the so called 'gud on bed'.. Ishakua kawaida and it's actually easy kwa wapenzi wa zamani kushawishiana kwamba wakumbushane,Satan on duty to accomplish his evil mission. Back to topic, you just kausha huyo jamaa...
Wakuu hiyo ndo hali ilioko ngome zote za mafisiem, Naomba anaeweza kuielezea hali ya wilaya za mkoa wa dodoma anisaidie, nmesoma chuo flani pale kwakweli ule mkoa unanuka umaskini kutokea pande zote Kus, Kaskaz, Mashar na Magharibi. Mungu awafunulie nuru kwakweli Wagogo wanatia huruma!
Habari ndugu zangu jf,
Ningependa nizungumze kuhusu mambo machache ambayo yametuvuruga sisi kama UKAWA especially Chadema as giant of opposition side.
Kwakweli kwa mwaka huu kuna mambo tumefanya mazuri na mengine mambaya na yale mabaya yametufanya tupate matokeo yasioridhisha kwa kiwango...
Usijifunze sana kwa waliofeli, usiseme haiwezekani wakati hujajaribu,'Nusunusu' ya johmakin imeshafika no.1kwenye chart za channel O, dalili njema...GO ON WEUSI
Hivi kushangilia na kuzomea vyote c sawa tu? Wapige marufuku pia na kushangilia manake wengine tunakereka na inaweza kuleta uchochezi kwetu sisi tusiompenda anaeshangiliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.