Pole sana kwa yaliyomsibu mdogo wako, me simshauri kabisaa aache ndoa yake bila kujua sababu inayomfanya mumewe awe vile.
Chamsingi awaite viongozi wa dini awaeleze iloswala mbele ya mumewe ninauhakika kama mke ndiye anayemkwaza ni lazima atasema na mambo yatakaa sawa.
Ndoa si lelemama...
kwahiyo ulitaka apige mayowe na kugaragara chini kwenye basi ili watu wajue kuwa anamajonzi?
Wakati mwingine tuweni wastaarabu katika mambo kama haya ijoz anahaki kabisa kuingia mtandaoni na kutujuza sisi kama rafiki zake ilituweze kumfariji katika kipindi hiki kigumu na si kumvunja moyo kama...
Pole sana ijoz kwa msiba ulio kufika, najua upo katika kipindi kigumu sana ila Mungu akutie nguvu katika kipindi chote hiki cha majonzi.
Mungu ailaze roho ya mama yetu mpendwa mahali pema peponi.
AMEN.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.