By nationalism
Mimi nilihitaji msaada wa kisheria na sihitaji ushauri wenu,matusi wala mabango.
SI KILA MAONI YAWE NI YA KIHIVYO,ELIMU YENU IWAKOMBOE KIFIKRA
naomba wataalamu wa humu ndani juu ya hili
Ni kwamba baba alizaa mtoto wa nje mwanaume,sasa baba analazimisha kumpa shamba bila sie watoto wakubwa kuridhia.
Kisheria likoje!
Mimi ni mhitimu wa chuo cha kilimo ngazi ya cheti, natafuta ajira ya muda, naomba kwa yeyote atakayeguswa anifahamishe kupitia nambari yangu 0762001136.
AHSANTE
Samahani wadau wa humu.
Aliye na idea juu ya kuahirisha mwaka wa masomo kwa mwaka mmoja, nini kifanyike na ni vitu gani vinahitajika?
Nawasilisha kwenu, shukrani!
Ndg mwl.utakayependakubadilisha kituo cha kazi njoo wilaya ya ngara-kagera nami niende geita.Idara ya
shule ya msingi.
Wasiliana nami kwa namba hii
0754403166
Umri: 27
Sex: M
Chuo: SAUTI - Mwanza
Course: BAED
Kwa bahati sana,sina hatima kama nitamaliza chuo ambapo ni historia kubwa tangu huko nyuma mpaka nafika hapa,offcourse kwa nguvu za mungu,lakini naona hapa nitashindwa , mpaka sasa nimezuiliwa kufanya (university exam), nikaamua kuandika...
Ndugu wanajamvi hili, ninaleta hili kwenu ninaomba atakaye guswa na hili na uwezo wa kunilipia nusu ya ada ya chuo yaani laki tano kwa mwaka kwa mkataba maalumu nipo tayari.
Ahsante.
ahsante keity,Nimejaribu kuwatafta viongozi wa makanisa kama TAG,EAG,RC Lakini sijafanikiwa.Kwa yeyote aliye na mawasiliano ya moja kwa moja ya watu ambao wanaweza kunisaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.