Mi nakushauri acha kujibizana na hao wapuuzi wachache, kama hujui kiingereza yy ameandika kipi ili tukifananishe na chako?, pongezi kwako umeandika mambo ya msingi sana.
Mm nimekuomba uninukuu japo sehemu moja tu nilipolitaka jeshi la polisi lithibitishe kazi zake unarukaruka na kutaka kunimezesh maneno. Siku nyingine ujipange usidhani huku JF wamejaa poyoyo kiasi ukileta vioja nao wanakubali tu.
Yale ni makazi ya viongozi yanalindwa 24HRS seven days na kamera za usalama zipo sasa ukiamua kujitoa ufahamu jitoe, by the way umewahi hata kusikia mlio wa risasi? Umewahi kukaribia Umauti, umewahi kupambana kuikoa roho yako isikutoke? nadhani ungepitia moment ya kukaribia kupoteza uhai...
Kama hazifanywi kizembe zinafanywa kwa weredi kwa nn wanasema mpaka dreva ahojiwe ndipo wamjue muuaji je dreva angekufa ina maana ungekuwa mwisho wa upelelezi? Na jalada la mauaji lingefungwa? Huo uweredi ndio wauoneshe kwa vitendo in absence of driver wauaji wapatikane sio tu uweredi wa maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.