[emoji290] hakuna kitu cha thamani kama salamu, watu wengi sana mnapuuza salamu za mitandaoni mkizani ya kuwa nyie ni bora zaidi na hata hamna muda wa kupoteza, siku ya kukata roho utatamani Dunia yote ikusogelee na uwasalimu kwakua hutaiona tena sayari ya Dunia na watu wake
Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.