Recent content by Nathan_Mao-Tz

  1. N

    MVUA

    Hii ndy Daresalama ya sasa
  2. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Lack of knowledge
  3. N

    Nawasalimu,

    [emoji290] hakuna kitu cha thamani kama salamu, watu wengi sana mnapuuza salamu za mitandaoni mkizani ya kuwa nyie ni bora zaidi na hata hamna muda wa kupoteza, siku ya kukata roho utatamani Dunia yote ikusogelee na uwasalimu kwakua hutaiona tena sayari ya Dunia na watu wake
  4. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Kuwa mpole
  5. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Asante mkali, kila mtu anamazaifu yake hatuwezi kufungia macho mambo makuu ya Rc kwa kosa moja la vyeti feki, wako wengi wenye vyeti wameboronga sana
  6. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Ndo nimesha anza
  7. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Ayse
  8. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Vip kuhusu m/kiti wako kuwa dikteta na kukosekana kwa uhuru wa demokrasia ndani ya Chama?
  9. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Baba anaweza kumkemea mtoto kwa namna yyt atakavyopenda, sintaubeba uovu wa baba
  10. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafu
  11. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Nafikiri nitakuwa sijakosea kama nitasema ubaya juu yako
  12. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Povu la nini wakuu
  13. N

    Tetesi: Rc Makonda

    Nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanya
Back
Top Bottom