2025 umekuwa ni mwaka wa Kihistoria. Habari za kisiwa cha amani zmekuwa ni ndoto, ukisema lolote baya kuhusu serikali basi story yako ndio imeisha. Taifa kugawanyika UDINI, CHUKI ZA KUENEZWA, kupungua kwa upendeleo.
R.IP MAGUFULI
Sitaki kuamini kwamba moto tutakaochomwa sisi ndio utakaowachoma wanasiasa, wanasiasa ni wauaji asee, wala sio wa kuwaamini watt wao wapo feza af wewe unayempigia kura mtoto wako hapati elimu bora, afya bora ni msoto wa hatari. dah ukisoma unawez kulia
Shida ni kwamba sisi tunafanya kazi kwa kujilinganisha. Yan kwa Tz sio ajabu kumwona kiongozi akisema mbna hata kenya kuna tatizo la ajira. Ajira zipo ila shida ni uswahili na busines as usual yan huwez amini hata ajira za muda wanatumika watumishi wa serikali, kwenye zoezi la sensa walijitahid...
Pole sana mwl. ila ukireport huku usiache kureport na Wizaran kuwa sehemu ya kuwasilisha malalamiko, usiache pia kuandika email kwa waziri wa elimu, CC. TAKUKURU a hata kwa rais, wanafanyia kazi. Ukiwa na lalamiko lolote hakikisha unareport wizara husika mimi nimereport la kudhulumiwa ardhi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.