Recent content by nasup

  1. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    Thanx mkuu kwa ushauri.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    If yes,msaada pls
  3. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    W wewe una fundi wa uhakika unaemjua mzee?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    Msaada wa fundi wa ukweli ss or dealer wa hizi pajero wanajamvi.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    Yangu bado mpya Ina km 52elf tu nilikuwa Nataka nipate fundi wa uhakika ili wasijeiingilia wasiojua.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    *Watu wanasema*
  7. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    Mkuu koyola Mboa Rais wsnasema ukipata fundi mzuri na ukipata mashariti take ni uhakika!?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Msaada:Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI

    Wakuu msaada pls.Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero au Dealer/s wake walipo kwa hapa Dsm. Pili mwenye ufahamu juu ya uimara wa hizi gari plllzzz anijuze. Natanguliza shukrani.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wakuu natumai mu wazima wa afya j4 ya leo.Ninaomba msaada wa kumpata fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI. Mimi nipo Dar es Salaam na ninahitaji fundi wa gari hizi kwani nimejulishwa mafundi wengi wa magari hapa TZ hawana ujuzi wa magari haya na huweza liongezea tatizo zaidi kuliko...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kiatu cha mtoto kuning'inizwa kwenye gari

    :( napita tu
Back
Top Bottom