Acha kabisa. Ila nikasema kwa hii nchi bila kuwa na connection kubwa, utaishia kupoteza muda, pesa, na hata uhai ukiamua kupelekana front na hawa watu.
Asante sana mkuu na pole pia kwa yaliyokupata na wewe.
Si kwamba najiteta au najisafisha ila ni kwamba hiyo njia huwa ina magari machache sana na ni vigumu kukuta foleni weekenda, especially mchana. So, hata sikuwaona wakinisimamisha wala kuona magari yamesimama. Ila sikutaka kabisa kubishana...
Ndugu wanajamvi,
Kabla ya yote ningependa kutanguliza pongezi na hongera nyingi za kuweza kufika December tukiwa na pumzi. Pasipo kupoteza muda, ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mkasa ulionikumba weekend hii maeneo fulani hapa jijini Dar es Salaam. Kwa ufupi nilikuwa napita tu kwenye...
Ungejaribu kuweka details kidogo kama vile aina ya kazi, fani uliyo na uzoefu nayo, na ngazi pia. Hii inaweza ikarahisisha ili upate msaada kwa haraka.
Mkuu,
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya haya yote uliyoyaandika hapa. Kumbuka kuwa ipo siku utazeeka na pengine ukapatwa na magonjwa ambayo yatahitaji mtu wa karibu sana kukuhudumia. Mtu wa kwanza ambaye ataweza kukuhudumia kwa moyo wote ni mke wako, then wanakuja watoto na mwishowe ndugu wa karibu...
Unakuta mtu hadi pete ya ndoa ananunua kwa michango ya watu. Sasa unakuta watu wanatoa kwa manung'uniko weee....unadhani hiyo ndoa itatoboa hata mwaka?? Mimi siwezi kuchangisha senti ya mtu aisee. Bora nisifanye sherehe kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.