kwa mtu yeyote makini anaefanya maamuz kwa UTAFITI
FIKRA
UKWELI&UJASIRI
asiyekuwa kibaraka atakubaliana na mada kuwa ZITTO ni chaguo sahihi na chaguo la wengi!!!
hata chadema,mbowe,slaa wanaliju hilo...!
mhh...!ni lazim iwe hivyo cz serkali ya china ipo kwa ajili ya maslahi ya wachina...!
lakini pia tucsahau kuwa china ya sasa si china ile yenye misingi ya ujamaa(pure socialist)NB;hakuna yeyote atakae tuondoa kwenye lindi la umaskini than our own plans our own efforts by our own resources...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.