Article nzuri sana. Serikali inabidi ifanye jitihada ktk utekelezaji wa utunzaji wa nyuki na kutunza mazingira kiujumla
Kuna majimbo ya China ambayo mazingira yalichafuliwa kiasi kwamba wakulima hawakuwa na njia nyingine isipokuwa walilazimika wao ndio waende na vijiti kuchavisha mashamba yao...
Nilikuwa namsikiliza Sheikh Bachu miaka 20 iliyopita. Bado namsikiliza leo. Nitasikiliza mawaidha yake mpaka mwisho wa maisha yangu. Inna lillah wainna ilaih raajiuun
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.