Ivuga,tuko pamoja,shemeji yenu akiridhia tutatoa picha zetu live,ni kwamba
hakuna utani,maisha ndo haya,tusijidanganye kwamba kuna sehemu nyingine
so mtu ukipata chance itumie,huo ndo ushauri wangu kwa wengine
ambao bado,MUngu ni muweza wa yote!Kuhusu kadi usijali panapo
majaliwa ya Mungu ni Dec...