Chadema wana kazikubwa ya kukijenga chama na kuongeza wanachama badala yakuendekeza mapambano na vombo vya serikali. Pia kwa majimbo waliyoychukua wathibitishie wananchi kwamba wana uwezo na walete mabadiliko badala kupoteza muda mwingi kuendekeza malumbano na vombo vya dola namaandamano yasiyo...
Mie nadhani ingekuwa hivi 1. Pata glasiya maji 2. Piga mswaki 3.muombe mungu kwa kuamka salama 4. Fanya mazoezi 5 pumzika kidogo jasho lilauke 6. Koga 7.pata breakfast na tunda au juice 8. Panga ratiba ya siku andika kwenye diary yako 9. Fungua simu zako na Email zako 10. Tayari kwa kuondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.