Recent content by Nasakadoo

  1. Nasakadoo

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Infinix kuanzia Hot 8 iliyo kwenye hali nzuri. Kuna laki moja hapa (100,000) mfuko wa shati. Inalipiwa muda wowote ikipatikana... Naomba mwenye nayo aseme.
  2. Nasakadoo

    Msichana wa kazi anahitajika

    Yuko tayari mkuu ila Changamoto ni sehemu alipo anadai hana nauli mpaka aitafute akiipata ndo anaweza kusafiri.
  3. Nasakadoo

    Msichana wa kazi anahitajika

    Angalia PM mkuu
  4. Nasakadoo

    Msichana wa kazi anahitajika

    Kwenye hilo naamini ataenda tu. Maana bahati nzuri namfahamu toka utotoni na maisha ya kwao. Hivyo huko hawezi kupakataa kamwe.
  5. Nasakadoo

    Msichana wa kazi anahitajika

    Umeshampata? Kuna mdada ananisumbua kweli nimtafutie kazi yoyote,nione kama utampa kazi!
  6. Nasakadoo

    TV4Sale SONY BRAVIA TV (used) 40" inauzwa

    Sawa mkuu usijali,Kwa tv mpya toleo hili ni parefu kidogo! Hata mtu ununue hii halafu urekebishe bado bei haiikuti ya mpya. So bado ni nafuu japo kila mtu ana uchaguzi wake
  7. Nasakadoo

    TV4Sale SONY BRAVIA TV (used) 40" inauzwa

    Kama picha zinavyoonekana wadau,hii TV inauzwa, ina ubovu. Tatizo: Mtoto aliiangusha ikapiga 'kleksi'. Inawaka vizuri na kuonesha ila picha sio nzuri tena. Kwa mujibu wa mafundi inatengenezeka. Brand ni SONY BRAVIA Inch 40. Kutokana na ubovu huo, nimeona niiuze tu kwa bei ya Hasara ili kumwachia...
  8. Nasakadoo

    Mke wangu amekutwa HIV+

    Kaka pole sana... Hii ni Changamoto hasa,unahitaji kifua na msaada wa Mwenyezi Mungu kupata mwongozo kwenye kulitatua hili. Watu wanalichukulia simple lakini huu mtihani, nakuomba chukua ushauri wenye manufaa humu ambao ni positive. Maana unaweza kuua hivi hivi mkagawana majengo bure
  9. Nasakadoo

    Mwenza bora anahitajika

    Ndo shida ya kwenda kwa Waganga wakuambie mume utakayeendana naye na sijui na kuanzia herufi fulani,na makorokoro kibao... Vipi lakini ndoa inaendeleaje huko
  10. Nasakadoo

    Tatizo la ukosefu wa haja kubwa kwa watoto wadogo na Vichanga. Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu

    Asante sana Kaka,hadi nilikuwa nimeshasahau kama niliwahi ku comment kuhusu hili. Tiba nyingi bwana kwa watoto za haraka na effective ni za asili,tatizo la tiba za Asili tunakuwa hatujui Dozi. Ila ndo zenye matokeo ya haraka zaidi!! Hata mtu mzima ukipata Constipation,naona mambo ya kumeza...
  11. Nasakadoo

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    https://chat.whatsapp.com/BQLFJhzI7JrCaTBXBnkQ1S [emoji3532]Bonyeza hii Link ikupeleke moja kwa moja Unyamani... Kwa wale wenye uhitaji na wapenda mijadala huru ya Soka hasa wewe Mwana Simba SC. Tukainjoi huko
  12. Nasakadoo

    Naomba movie ya action yenye story nzuri

    1. 13 Hours: The Secret soldiers of Benghazi. 2. 12 Strong 3. Attack on Dafur 4. London Has Fallen 5. Hills have an eyes 6. Operation Red Sea 7. 21 Bridges 8. Black Hawk Down Zinatosha...Hutajuta! Ila pia vumilia kuangalia maana kama una roho ya huruma utazima TV hasa hiyo ya 3 na 8 Sent using...
  13. Nasakadoo

    Angalia kama vinakufaa, vitu hivi vinauzwa haraka

    Zishatoka Mkuu hizo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Nasakadoo

    Angalia kama vinakufaa, vitu hivi vinauzwa haraka

    Namba 2 hadi tano bado vipo Mkuu...wengi wanaovitaka wanakuwa wapo mbali na Dar. Waiting Chair,Meza,Phone's Accessories,Pegs nk bado vipo! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom