Recent content by nasa joan

  1. N

    Magufuli ni chaguo bora na sahihi kwa Watanzania

    MAFURIKO HAYA MAFURIKO GANI? Ninamuona Fundi, mjuzi wa Ujenzi Mwenye uwezo wa kujenga madaraja maridadi kwa kutumia FITO mbichi, zenye mirija ndani yake akipaka nakshi Daraja lake jipya analowaza kulitumia kuvuka katika safari yake ya "MATUMAINI". Mjenzi huyu anajaribu kulipamba daraja lake...
  2. N

    Kwanini iwe ni Magufuli kwenda Ikulu??

    Magufuli anauwezo mkubwa kuliko lowasa Katika utendaji na maamuzi Magufuli ana afya na ni nikijana zaidi ya lowasa hivyo utendaji wake wa kazi utakua ni mzuri zaidi kuliko lowasa Magufuli hana scandle yoyote bali yalikuwa ni utekelezaji wa kazi zake Magufuli anaouwezo mkubwa wa kubadilisha...
  3. N

    Mheshimiwa Vicky Kamata akabidhi baskeli 500 kwa wanawake wa mkoa wa Geita

    Naskia hata kuhonga usukumani kama unatafuta mchumba ni kitu cha redio na baiskeli tu... watani mmetisha.
  4. N

    Swali kwa Walimu wote nchini

    Huku yeye ndo kwao na hataki kurudi kwao mimi kwetu Tabora
  5. N

    Swali kwa Walimu wote nchini

    Huko sio nyumbani naenda kwa mwenza kulea familia.
  6. N

    Swali kwa Walimu wote nchini

    Duuuh.. nisaidieni kwanza hili. Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi kutoka wilaya ya Lindi vijijini kama wewe ni mwalimu unataka kubadili kituo mimi nipo Lindi vijijini na anayetaka kuja huku naomba kubadilishana nae ila iwe ni kutoka wilaya ya Muheza, Mkinga, Korogwe, Tanga, Kibaha, chalinze...
  7. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi kutoka wilaya ya Lindi vijijini kama wewe ni mwalimu unataka kubadili kituo mimi nipo Lindi vijijini na anayetaka kuja huku naomba kubadilishana nae ila iwe ni kutoka wilaya ya Muheza, Mkinga, Korogwe, Tanga, Kibaha, chalinze, kisarawe, Handeni na morogoro...
  8. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi kutoka wilaya ya Lindi vijijini kama wewe ni mwalimu unataka kubadili kituo mimi nipo Lindi vijijini na anayetaka kuja huku naomba kubadilishana nae ila iwe ni kutoka wilaya ya Muheza, Mkinga, Korogwe, Tanga, Kibaha, chalinze, kisarawe, Handeni na morogoro...
  9. N

    Mnyika anachekesha sana eti ataiangusha serikali ya kikwete

    Yuko vizuri Mnyika anajiheshimu anajua anachokifanya hana hamaki,lkn wengine Mapera tu.
  10. N

    Mnyika anachekesha sana eti ataiangusha serikali ya kikwete

    Unamawazo mazuri ila wakati wake haujafika bado.
  11. N

    Pinda awasili Doha na msafara wa viongozi 11 wakiwemo mawaziri 5 kutoka Tanzania

    Ndg watu ni waropokaji hawana kazi za kufanya.
  12. N

    Pinda awasili Doha na msafara wa viongozi 11 wakiwemo mawaziri 5 kutoka Tanzania

    Yaani we we ni debe tupu kichwani nyamaza tu.
Back
Top Bottom