Recent content by Narekeremo

  1. Narekeremo

    GE2025 Mgombea wa CCM hajaongea jipya lolote, ameshindwa kujinadi vyema

    Hii ndo maana hata mpina wamemuzuia kimkakati
  2. Narekeremo

    Mjuaji Vs Mtaalam

    Mjuaji kwa lugha iliyoko kitaa kwa sasa huyu ni CHAWA.
  3. Narekeremo

    Full Time: Young Africans SC 2-0 Singida Black Stars | CRDB Federation Cup | Final | New Amaan Stadium | 29.06.2025 | Yanga Bingwa

    Hii yanga ni kivutio tosha cha soka letu hapa nchini inatoa burudani kwa kuitazama huchoki.
  4. Narekeremo

    Arajiga Mechi ameshindwa kuimudu

    Hahahhaaaaaaa hawa watu vichwa vyao bado vimetengana na ufahamu kwa tukio la majuzi kati si wakuwasikiliza.
  5. Narekeremo

    Mdogo wangu wa kike kapotea tokea siku ya ijumaa

    Yaani kwa mtoto wa kike akisha jua tu kuishika na kuielekezako tayari kichwa huwa kama kimejaziwa bando la mwaka hashikiki wala haambiliki utamaliza viatu tu mkuu huyo kashakua mwenzio.
  6. Narekeremo

    Yanga SC ikishinda leo niitwe Aziza Jumanne

    Hiyo aibu utaipata wewe Aziza
  7. Narekeremo

    Yanga timu mbovu haiwezi kushinda bila timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Simba timu bora imeshinda bila nyekundu

    Mc Alger nayo ya wapi hii au hii timu iko kwenye kundi lenu sisi hatuna timu ya namna hiyo ujue nyie makolo na akili zenu mnazijua wenyewe tu.
  8. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Maana Aterta kifafa chake kishamuanza mapema.
  9. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hii timu itaharibu radha ya EPL kabisa maana dalili za msimu huu Pep kombe analitaka tena.
  10. Narekeremo

    Gamondi: Simba watapewa dozi kulingana na ugonjwa wake

    Naungana na Wanaigeria wanao ipa ushindi Yanga African
  11. Narekeremo

    Nifanye nini ili niache tabia ya ubishi?

    ITAMBUE ASILI YA KUZALIWA KWAKO INAWEZA IKAWA CHANZO CHA TATIZO LAKO. EZEKIEL 16:1-5. Somo hili limesaidia wengi na kuwabadilisha toka kwenye asili ya tabia mbalimbali walizorithi.
Back
Top Bottom