binafsi namuombea maisha marefu.sikujua mazuri yake kipind kile.ila baada ya kuondoka tu.nikajua kumbe tanzania ilikua na mtu mzuri sana ila wataalam na wachumi wakatumia upole wake kujinufaisha badala ya kunufaisha taifa.i miss jk
ni kweli mkuu.binafs nimesha faidika na frusa hiyo.huku dodoma kuna jampuni moja inaitwa peages inausika na upimaji wa viwanja na bei zake ni mafuu sana ukilinganisha na za cda.
tena unalipa kidogo kidogo ndani ya miaka miwili.
kwa nionavyo mimi bado sijaona raisi zaidi ya kikwete ktk nchi hii.
najua wengi mta hamaki lakini huo ndio ukweli.kikwete ni kiongozi bora ila alikosa washauri.
i miss you j.m.k.mungu akupe maisha marefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.