Recent content by NAPITA TUU

  1. N

    Tigopesa hii si haki

    huo sio wizi.hiyo ni biashara.unahaki ya kuamua upewe huduma au usipewe.kwaiyo msiseme tigo waizi semeni garama za tigo ni ghali.
  2. N

    Kikwete baba tunakukumbuka na tunazidi kukukumbuka

    binafsi namuombea maisha marefu.sikujua mazuri yake kipind kile.ila baada ya kuondoka tu.nikajua kumbe tanzania ilikua na mtu mzuri sana ila wataalam na wachumi wakatumia upole wake kujinufaisha badala ya kunufaisha taifa.i miss jk
  3. N

    Tigopesa hii si haki

    kama unaona ni gali kapange foleni.hii ni biashara huria ndg.kuna watu wapo kw ajili ya kufanikisha hii huduma unafikiri watalipwa je?
  4. N

    Bei ya viwanja Dodoma yapaa

    ni kweli mkuu.binafs nimesha faidika na frusa hiyo.huku dodoma kuna jampuni moja inaitwa peages inausika na upimaji wa viwanja na bei zake ni mafuu sana ukilinganisha na za cda. tena unalipa kidogo kidogo ndani ya miaka miwili.
  5. N

    Bei ya sukari nchini yashuka kwa Sh,1500

    hixo siasa.sukari ni 2500
  6. N

    Nimegundua kumwazimisha mtu gari ni hatari, nimekoma

    duh! mkuu vp niazime na mimi bas jumapili nina kwenda morogoro nikirud nitakutoa mkuu
  7. N

    Namtabiria mkuu Mwigulu kuandaliwa kumrithi mtukufu wetu

    kwa nionavyo mimi bado sijaona raisi zaidi ya kikwete ktk nchi hii. najua wengi mta hamaki lakini huo ndio ukweli.kikwete ni kiongozi bora ila alikosa washauri. i miss you j.m.k.mungu akupe maisha marefu
Back
Top Bottom