Shetani kashakula tunda la uzima hivyo hawezi kufa tunda ambalo linaelezewa kwenye kitabu cha mwanzo ambalo ndio lilifanya binadamu afukuzwe halaka pale eden ili asije kula na kuishi milele
Hatuna mda na hilo mkuu je umewahi kunywa kinywaji nusu chakula nusu pia ukafunga mlango vizuri kisha asubuhi unakuta kinywaji limeisha chakula pia kimeisha kwenye sahani mlango haujavunjwa hakuna kitu kingine umepoteza yaani ndani pako shwari kabisa pc/cm flash na vitunzia kumbu kumbu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.