Hivi nimewahi kuomba UNIAMINI? Sidhani hata kama hao wengine uliowataja kuna anayehitaji imani yako!
Hivi nimewahi kuomba UNIAMINI? Sidhani hata kama hao wengine uliowataja kuna anayehitaji imani yako!
Shida moja ya jukwaani hapa huwa ni kushindana kutukanana na ujuzi wa kutoa matusi, japo kwakweli sijawahi ona tusi jipya kabisa kwenye orodha ya matusi niyajuayo.
Shida ya pili muda wa kubaki hapa kujibishana unakosekana matokeo yake mnadhani mtu kakimbia. Mwenye ushahidi wa mie KUULIZWA...
Uongo na uzushi huu hautaisaidia Chadema na anguko kuu, it is just too sad that Chadema is going too soon! Nilidhani wangehimili kidogo ushindani lakini masikini pumzi imewaisha mpaka mnapumulia mashine mapema namna hii!??
Nilikuwa Mwanza nimefanya mikutani miwili mmoja wa ndani mwingine wa...
CHAMA CHA MAPINDUZI kitakapobadili sera yake ya Muungano wa Serikali Mbili, sera yake mpya itakuwa sera ya Muungano wa Serikali moja. Chama Cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili, na ukweli, na ujasiri, hakiwezi katu kukubali sera ya serikali tatu, kikijua wazi wazi kwamba matokeo na shabaha...
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr...
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania...
Magiri,
NAKUSHUKURU SANA SANA KWA USHAURI WAKO. NAKUAHIDI KUUFANYIA KAZI USHAURI WAKO! Kama wengi jukwaani hapa wangetumia style yako hii ya kushauri kwa lugha ya kiungwana sana jukwaa hili lingekuwa uwanja mzuri sana wa kuzungumza mambo makubwa!
Narudia kukushukuru sana!
Naandika hili kwa masikitiko makubwa maana watani zangu CHADEMA siku zao zinahesabika kwa kasi inayonitisha sana. Mimi ni muumini wa uimara wa CCM kutegemea sana uimara na umakini wa upinzani nchini! Kwahiyo anguko la upinzani nchini si jambo zuri kwa CCM, nchi na demokrasia yetu, CHADEMA kikiwa...
Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)!
Sasa si swala la...
Katika hali ya kawaida chuki kati ya weupe na weusi Afrika Kusini,chuki iliyojengwa kwasababu ya ubaguzi wa kutisha uliotendwa na serikali ya makaburu, haikua rahisi kudhani kwamba lingekua ni jambo rahisi kuwafanya watu wasahau na kusameheana na leo waishi kama Afrika Kusini moja! Nelson...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.