Recent content by Nape Nnauye

  1. Nape Nnauye

    Nitakuwa wa mwisho kuwaamini Zitto, Nape na Bashe

    Hivi nimewahi kuomba UNIAMINI? Sidhani hata kama hao wengine uliowataja kuna anayehitaji imani yako! Hivi nimewahi kuomba UNIAMINI? Sidhani hata kama hao wengine uliowataja kuna anayehitaji imani yako!
  2. Nape Nnauye

    Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

    HUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!
  3. Nape Nnauye

    Kumbe uwaziri unanoga, Nape kielelezo

    Wakati mwingine kutumia akili kidogo badala ya kuendeshwa na njaa husaidia sana.
  4. Nape Nnauye

    EFM yapewa ruksa ya kuruka mikoa 10 ya Tanzania, Nape amsifu Majay. Hofu yatanda Clouds Media Group

    BAHATI MBAYA SANA HUMJUI NAPE VIZURI. MWAMBIE ALIYEKUTUMA UJIPANGE UPYA
  5. Nape Nnauye

    CCM na serikali yake waendelea kudhibiti vyombo vya habari dhidi ya IPTL

    Shida moja ya jukwaani hapa huwa ni kushindana kutukanana na ujuzi wa kutoa matusi, japo kwakweli sijawahi ona tusi jipya kabisa kwenye orodha ya matusi niyajuayo. Shida ya pili muda wa kubaki hapa kujibishana unakosekana matokeo yake mnadhani mtu kakimbia. Mwenye ushahidi wa mie KUULIZWA...
  6. Nape Nnauye

    CCM na serikali yake waendelea kudhibiti vyombo vya habari dhidi ya IPTL

    Uongo na uzushi huu hautaisaidia Chadema na anguko kuu, it is just too sad that Chadema is going too soon! Nilidhani wangehimili kidogo ushindani lakini masikini pumzi imewaisha mpaka mnapumulia mashine mapema namna hii!?? Nilikuwa Mwanza nimefanya mikutani miwili mmoja wa ndani mwingine wa...
  7. Nape Nnauye

    USIA wa Baba wa Taifa!

    CHAMA CHA MAPINDUZI kitakapobadili sera yake ya Muungano wa Serikali Mbili, sera yake mpya itakuwa sera ya Muungano wa Serikali moja. Chama Cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili, na ukweli, na ujasiri, hakiwezi katu kukubali sera ya serikali tatu, kikijua wazi wazi kwamba matokeo na shabaha...
  8. Nape Nnauye

    Masikini UKAWA

    Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE! Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr...
  9. Nape Nnauye

    UKAWA acheni utoto!

    Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto! Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania...
  10. Nape Nnauye

    Ushauri wa bure kwa Nape Nnauye

    Magiri, NAKUSHUKURU SANA SANA KWA USHAURI WAKO. NAKUAHIDI KUUFANYIA KAZI USHAURI WAKO! Kama wengi jukwaani hapa wangetumia style yako hii ya kushauri kwa lugha ya kiungwana sana jukwaa hili lingekuwa uwanja mzuri sana wa kuzungumza mambo makubwa! Narudia kukushukuru sana!
  11. Nape Nnauye

    Unafiki huu wa wanaharakati (CHADEMA), kiboko

    Mzee aliyekaa chini ua mti anaona mbali kuliko kijana aliyejuu ya mti!
  12. Nape Nnauye

    Unafiki huu wa wanaharakati (CHADEMA), kiboko

    Naandika hili kwa masikitiko makubwa maana watani zangu CHADEMA siku zao zinahesabika kwa kasi inayonitisha sana. Mimi ni muumini wa uimara wa CCM kutegemea sana uimara na umakini wa upinzani nchini! Kwahiyo anguko la upinzani nchini si jambo zuri kwa CCM, nchi na demokrasia yetu, CHADEMA kikiwa...
  13. Nape Nnauye

    Nape: Lowassa kapoteza sifa ya kugombea

    Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)! Sasa si swala la...
  14. Nape Nnauye

    Mandela ALAMA YA SIASA ZA KUUNGANISHA WATU!

    Katika hali ya kawaida chuki kati ya weupe na weusi Afrika Kusini,chuki iliyojengwa kwasababu ya ubaguzi wa kutisha uliotendwa na serikali ya makaburu, haikua rahisi kudhani kwamba lingekua ni jambo rahisi kuwafanya watu wasahau na kusameheana na leo waishi kama Afrika Kusini moja! Nelson...
  15. Nape Nnauye

    Nape Nnauye: Kuhojiwa kwa mawaziri kamati kuu ya CCM hakukwepeki

    Unahakika na hayo maneno??? Au nawe ni wale waliolishwa na kuamini kuwa mie ndio Mwandishi, mhariri na mmiliki wa magazeti???
Back
Top Bottom