Wana JF,naomba tushauriane kuhusu hili suala la umeme,tokea bei imepanda ni siku ya 9 tu leo lakini mwenzenu umenishinda kabisa mpaka sasa nafikiria kurudi kwenye taa ya chemli au kibatari,kwa mahesabu ya haraka kama ntaendelea kuweka umeme naona mwisho wa mwezi 30% ya mapato yangu itaishia...