Ukimuondoa mwandishi wa makala Jenerali Ulimwengu na baadhi yetu wachache sana, Watanzania wengi wengine wapo wanaamini kitu ambacho hikijawahi kutokea katika historia ya siasa za dunia, nacho ni chama kilicho madarakani kwa 'mbinu' kukubali kuleta katiba mpya inayoweza kuleta haki na usawa. Kitu hiki ni kigumu!
Nakubakiana na wewe kuwa ccm kama chama watatumia kila mbinu kuhakikisha kuwa hoja yao ya serikali mbili ndio inayokubalika na bunge la katiba ; walishalipigia mahesabu toka kwenye sheria ya muundo wa bunge la katiba kwa kuwaruhusu wabunge na wawakilishi toka visiwani kuwemo kwenye hilo bunge ili kuhakikisha kuwa wanapata majority , halafu na hao wajumbe ambao Rais atawateua nina uhakika watachuja ili wale wanaoshabihiana na mawazo ya ccm ndio wengi wao Rais atawateua hivyo kuongeza nguvu za wana magamba!! Hilo liko wazi na UVCCm wamekwisha anza kulipigia kelele kwa kuuliza kuwa Warioba aliwakilisha mawazo ya nani mbona watu waliohojiwa ni percentage ndogo sana ya poulation ya Tanzania? As Jenerali has predicted , we are heading to a constitutional crisis with a lame duck presidency!!!