Maelezo ya mdau hapo juu ni sawa ila ni mahakama ya mwanzo sio ya wilaya .Mirathi inafunguliawa mahakama ya wilaya kama kuna district delegates as per probate & adminstration act ila Practice inaonyesha karibu mirathi yote inafunguliwa mahakama ya mwanzo au mahakama kuu.Pia kufungua haitaji...
Mnaomchukia ndio mnaopenda kucomment na bila shaka wrote Hi ukawa ndio maana mnamkandamiza,wapo watanzania wanaompenda na hawapendi kucomment kwahiyo huwezi Dema eti unafanya research! Ukweli jamaa anakubalika hata nyie ambao hampendagi kuona ajizungumzia machache mazuri yanayotendwa na...
Wewe ndio -------- sio mahakama,mbona unakuwa kama sio msomi bwana,hizo ni tuhuma ambayo mwisho wa siku hiyo mahakama itaamua km alibaka au la sasa we we utaitaje mahakama ya kipumbavu,tuache kukurupuka humu@ truth
Binti aliyebakwa sio Malaya ambaye mmeshawahi mpost humu!:half kuna wanaume akili zao ndogo sn, HV unawezaje justify ubakaji kisa mwanamke mzuri,basi huna tofauti na mbwa anayejisaidia popote.Think big
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.