Recent content by NANGERA ECHUNGUKE

  1. NANGERA ECHUNGUKE

    Prof: Maghembe atamani mauti yamkute mpinzani wake

    upo wa kutosha! ingawa hapa sio mahakamani lakini unaweza kwenda kjiridhisha mwenyewe kwa kuwahoji wanamwanga na viongozi wao walikuwa kwenye kikao hicho. na wala sio siri. Magamba tunajua ni magaidi kutoa roho za watu ni kama vile kuua mdudu chawa! Upo Mkuu
  2. NANGERA ECHUNGUKE

    Prof: Maghembe atamani mauti yamkute mpinzani wake

    ndugu wadau hayo yalibainika hivi karibuni kwenye kikao cha kamati ya Siasa ya CCM wilaya ya Mwanga na Ujumbe toka kamati ya Usalama na Maadili ya CCM makao makuu. Kwamba siasa za makundi mawili hasimu ya Profesa Maghembe ambaye ni Waziri "Mzigo" wa Maji na Mbunge wa jimbo la...
  3. NANGERA ECHUNGUKE

    Uelewa mdogo wa siasa za Henry Kilewo ndani ya CHADEMA na ndoto zake

    Ndugu yangu kikwen naona umeathiriwa na bomoa bomoa hapo kikwen we ni ched au? Maana ni point zake gamba yule napita tu wangu
  4. NANGERA ECHUNGUKE

    Wilaya ya Mwanga: Ufisadi ni sehemu ya maisha ya prof. Maghembe

    Ndugu wana jamvi baada ya Prof. kuchana risala ya wananchi, baada ya kwenda kuzindua choo cha matundu nane na hatimae kwenda kuzindua butcher siku ambayo Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Dr. Asharose Migiro akiwani Mgeni Rasmi kwenye shughuli za kiserikali wilayani Mwanga, Profesa kaingia tena...
  5. NANGERA ECHUNGUKE

    SIRI ya Ruzuku ambayo CCM hawataki CHADEMA waijue hii hapa!

    wewe ni mtu wa ajabu sana (yaani wewe ni ile kitu iliyothibitishwa na mheshimiwa hakimu kule dom kwenye kesi ya Sugu na Pinda) Mtoa mada kam quote mwenyekiti vizuri kuwa Makao makuu wanajilimibikizia ruzuku wao peke yao! tunajua kabisa kuna mikoa ambayo ccm inajitegemea kulipa posho na...
  6. NANGERA ECHUNGUKE

    Wadau mnasemaje kuhusu `utendaji kazi' wa taasisi hii ya ccm kwa wananchi?

    NANI ZAIDI jumba la Mbowe NA Madawa ya kulevya yanayouzwa na wana CCM!
  7. NANGERA ECHUNGUKE

    Umaskini wa Tanzania chanzo chake ni CCM

    hapo umenena Mkuu! Hayawezi kutunga single nyingine ya kutusambaratisha tena yameshaishiwa ndo maana yamejifungia Dodoma siku nne kubuni mkakati mfu mwingine
  8. NANGERA ECHUNGUKE

    Wa-Tanzania at Diaspora Hebu Badilikeni Japo Kidogo!!

    kufa wewe bwana alah! lichama lako linatunyonya hadi damu we unatuletea mambo ya vifo vya ulaya! Vifo vya ulaya na Tembo wetu mnavuna kipi bora! au katiba yetu mnaotaka kuhujumu
  9. NANGERA ECHUNGUKE

    TANZIA: Kamanda James Kombe afariki dunia

    maskin weee! siku za Udika Mremi (Dar Express) zinahesabika sasa
  10. NANGERA ECHUNGUKE

    Wakati Tanzania tunapinga Mjumbe wa CCM [nyumba 10] WAKENYA wanapendekeza mfumo huo!!

    we jela umetoka sangapi si tumesikia umefungwa aka 7 mung'anda kwa wizi wa sementi mifuko miwili na bati 1 BTW CCM ndo wanawatumia mabalozi ndivyo sivyo! nyie ndo mnawatumia kwa masilahi yenu sio maslahi mapana ya wananchi na mnawatumia kipindi kile tu cha uchaguzi
  11. NANGERA ECHUNGUKE

    Diwani wa CCM viti maalum Mkoani Simiyu ahukumiwa jela miaka 7 kwa wizi wa Saruji!

    Nina mashaka huyo MH diwani ndio huyo huyo Simiyu Yetu embu angalieni post zote za Simiyu yetu huwa zinaandikwaga kike kike yaani kimipasho zaidi REST IN JAIL SIMIYU YETU
  12. NANGERA ECHUNGUKE

    Kampuni CCECC ya China ipo tayari kujenga reli ya kati

    Hapo! shughuli ipo! cjui nisuse kulipa kodi!!! maana hapo ufujaji wa kodi jumlisha 10% tarajali kwani huo mradi wa kujenga reli tenda yake ishatangazwa kwa mujibu wa sheria?
  13. NANGERA ECHUNGUKE

    Hatimaye rais Kikwete afunguka ya moyoni kwa kusema ahadi zake hazitekelezeki mpaka kufikia 2015

    Hapa kwetu kuna "Mradi Mkubwa wa Maji kutoka Nyumba ya Mungu hadi Mkomazi" pesa zinatoka BADEA ambapo wachangiaji walikuwa ni serikali ya Libya na Syria" Hembu niambieni unatekelezeka huo?
  14. NANGERA ECHUNGUKE

    Kwanini Zitto anashambuliwa kwa kufuatilia matumizi ya fedha za umma?

    express as a GT unaona kweli Zitto ana hoja ya Msingi? Mi naamini kuwa bunge linaingilia mambo ya serikali pale tu ambapo itaonekana kuwa kuna uzembe mkubwa kama ilivyokuwa kwa RICHMOND, JAIRO nk. bunge linapaswa kuchukua kwanza taarifa kwa CAG kama CAG atawaambia hakupata ushirikiano huko...
Back
Top Bottom