Recent content by nanasikirikuu

  1. nanasikirikuu

    ndugu yangu anatatizo la mgongo.msaada jaman ili apone.

    Upo wapi?na umeonwa na physician ama physiotherapist??nakushauri uonwe na physiotherapist kwanza kabla ya kipimo anaweza kuwa msaada mkubwa
  2. nanasikirikuu

    Uume wa mtoto kusimama kwa muda mrefu

    mmh..pole..ngoja watakuja wataalam..cna experience
  3. nanasikirikuu

    Unataka ipi, kizamani au kisasa?

    umesema vyema mkuu
  4. nanasikirikuu

    Unataka ipi, kizamani au kisasa?

    huyu kweli jipu..umeniwahi
  5. nanasikirikuu

    Unataka ipi, kizamani au kisasa?

    ni njema baba last say akiwa nayo mtu mmoja ni hatari.coz sio kila wazo atakalitoa say litakua sahihi.. hapo ndipo mwenzie atakapotoa last say na itakua opportunity ya wote... Mungu nijalie mume mwelewa
  6. nanasikirikuu

    Natamani kuasili mtoto lakini mume hataki

    ungesubir watt wa nje wakue. huku ukiomba Mungu akujalie wa kwako...
  7. nanasikirikuu

    Unataka ipi, kizamani au kisasa?

    habari bsba paroko.. mtindo wa kisasa ni mzuri iwapo mnaendana kimawazo...so yoyote kati ya me au ke akitoa last say inakua na mantiki...na pia inaongeza kuheshimiana
  8. nanasikirikuu

    Mwanamke ana hisi nyingi mno na zinazobadilika haraka kuliko mwanaume

    Bora umeliona...waje na wenzio walione ili mtuelewe
  9. nanasikirikuu

    Hii ni tabia mbaya kwenye mahusiano

    watu hawajui matumiz ya handkerchief....ama??na mazingira ya public ppl should b conscious with their action bwana.....ptuuu
  10. nanasikirikuu

    Hii ni tabia mbaya kwenye mahusiano

    Tita u deserve an award.....u made my morning!!
  11. nanasikirikuu

    Question- wasukuma and Love relations

    huuuhh....vichepuo???????am confused
  12. nanasikirikuu

    Kizazi cha wanaume wahongaji chapotea taratibu, kizazi cha wanaume bahili chashika chati kwa Kasi!

    wanaume sasa mjitizame vyema..jishughulisheni...eti mdada ndo ajigharamikie harusi??? kweli ndo maana kuna mashoga.... Work Hard..very hard men!dat simply shows kwamba wanawake tunajituma zaidi yenu....
Back
Top Bottom