ni njema baba
last say akiwa nayo mtu mmoja ni hatari.coz sio kila wazo atakalitoa say litakua sahihi..
hapo ndipo mwenzie atakapotoa last say na itakua opportunity ya wote...
Mungu nijalie mume mwelewa
habari bsba paroko..
mtindo wa kisasa ni mzuri iwapo mnaendana kimawazo...so yoyote kati ya me au ke akitoa last say inakua na mantiki...na pia inaongeza kuheshimiana
wanaume sasa mjitizame vyema..jishughulisheni...eti mdada ndo ajigharamikie harusi???
kweli ndo maana kuna mashoga....
Work Hard..very hard men!dat simply shows kwamba wanawake tunajituma zaidi yenu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.