Recent content by nana29

  1. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Mkuu unaongea kwa machungu sana
  2. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Njoo boss
  3. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Sina lakini wataalamu wa nyuki wapo wengi boss Tatizo watanzania hatutaki kushikana mkono
  4. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Asante mkuu lakini pia huko nimepata sehemu wananunua wao alafu wao ndo wanaipaki
  5. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Agent wa Fedex Tanzania (Rangel Logistics) Achunguzwe kwa kuhujumu uchumi

    Na mm nilikuwa mbioni kuwatumia
  6. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Saa hv 160,000 mkuu tabora
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kusafirisha viazi mbatata nje ya nchi

    Naona wataalu wa export hawatoi majibu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Mkuu nauza ndani lkn sijawahi kuuza nje nchi ndo maana naomba msaada
  9. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Duh hii mbona ni ngumu Hahaaa
  10. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kusafirisha asali Ulaya

    Habari za wakati huu wana jf. Naombeni msaada nataka kusafirisha asali nje ya nchi nipeleke Ulaya, je natakiwa kuanzia wapi kufuata taratibu ili nisisumbuliwe bandarini. Najua jukwaa hili kuna wafanyabiashara hii biashara pia Naombeni muongozo wenu
  11. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa wote wanaotafuta ajira

    Je Kuna yoyote aliona tangazo la kazi za sales kampuni ya Nomad Tz je una apply vipi?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri

    Asante sana
  13. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri

    Habari zenu wanna jf. Naombeni ushauri kwenye bwawa langu la samaki Kuna vitoto vingi sana vya chura . Je hivi vinaweza kudumaza vifaraga wanguwa samaki? Nitafanyaje kuviondoa . Asanteni sanaa
Back
Top Bottom