Naombeni ushauri

nana29

Member
Aug 20, 2013
18
2
Habari zenu wanna jf. Naombeni ushauri kwenye bwawa langu la samaki Kuna vitoto vingi sana vya chura . Je hivi vinaweza kudumaza vifaraga wanguwa samaki? Nitafanyaje kuviondoa . Asanteni sanaa
 
Nadhani si vizuri wao kuwepo,namna ya kuwatoa tusubiri wataalamu au wenye uzoefu watusaidie
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom