kulipokuwa na mgogoro ndani ya nchi ya south africa, rais Zuma bila kujali umuhimu wa ziara alirudi south kwa haraka sana kutatua tatizo, hivyo hivyo kwa waziri wa uingereza nashangaa kwa hapa kwetu rais kikwete anapiga misele mpaka watu wadogo wana mpa amri utafikiri sio kiongozi mkubwa wa nchi
huu ni mpango maalum unafanywa na watu maalum kuleta machafuko nchini. si umalizie watu maalum wa kina Sheikh Ponda wenye busara ndogo zenye kufichwa na mwamvuli wa kibaragashia:smash:
umaskini wa akili ndio unawapelekea kufanya hivyo. kwa kifupi tutaendelea kusali kwenye makanisa yetu ikiwezekana hata chini ya mti. wakitaka vita we are ready, kwasasa tunasubiri Suleiman Kova, Said Mwema na Jakaya Kikwete wawatie adabu kama walivyopewa kule madina...
baba tunde mawazo yako yana hoja nzuri. katika kujadili masuala ya dini, uweka kando dini yangu kisha kutafuta ukweli juu ya imani ya hizi dini zilizoletwa na mashua afrika. nakumbuka siku moja niliwahi kufatilia chanel ten kipindi cha dini ya kiislaam majira ya usiku, kweli kipindi ni kizuri...
hana kazi ya kufanya zaidi ya kukusanya janjawid waandamane. muislam mwenye akili na busara hawez kufata mkumbo wa ***** mmoja, hata dini hairuhusu kufanya hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.