Watu wanaozaniwa kuwa majambazi wenye siraha wameteka kijiji cha Benako, wilayani Ngara, mkoa wa Kagera kwa takriban saa tatu leo, na kupora fedha kwa wanakijiji na kujeruhi wengne kwa risasi.
source; ITV breaking news.
Ndugu zangu wana jamii, mh. Magufuli amesitisha ajira mpya kwa miez 2 zaidi, pia amesitisha upandishaji vyeo na madaraja kwa watumishi kwa muda tajwa hapo juu, uamuzi ni mpaka tatizo la watumishi hewa litakapo malizika, source: channel 10 habari.
Wadau nashukuru sana kwa ushauri wenu, nimepata kitu, nafikilia kuongeza 3M ili nipate gari nzuri zaidi, ukizingatia kwa sasa fedha yetu iko chini dhidi ya dola, nikiwa na 12M nadhani itani wezesha kuta gari nzuri zaidi, kuhusu kununua hapa tz sikirii kabsa, kuna mzee wangu fulan alinunua gari...
Nime icheki BMW cif yake iko juu na gari yenyewe iko chini hivi, vp inawezana na road zetu za kibongo, maana mm niko mbeya sio Dar, na mishe zangu wkt mwingine natoka offroad.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.