Recent content by Nampson

  1. N

    Majambazi wajeruhi na kupora Ngara

    Watu wanaozaniwa kuwa majambazi wenye siraha wameteka kijiji cha Benako, wilayani Ngara, mkoa wa Kagera kwa takriban saa tatu leo, na kupora fedha kwa wanakijiji na kujeruhi wengne kwa risasi. source; ITV breaking news.
  2. N

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    Ndugu zangu wana jamii, mh. Magufuli amesitisha ajira mpya kwa miez 2 zaidi, pia amesitisha upandishaji vyeo na madaraja kwa watumishi kwa muda tajwa hapo juu, uamuzi ni mpaka tatizo la watumishi hewa litakapo malizika, source: channel 10 habari.
  3. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    asante sana kwa ushauri, nimekupata sana, unajua naiota cami kwa sana, kutokana na thread hii nimepata mengi, nawashukuru sana
  4. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    br thax ngoja niichunguze hiyo gar
  5. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    Wadau nashukuru sana kwa ushauri wenu, nimepata kitu, nafikilia kuongeza 3M ili nipate gari nzuri zaidi, ukizingatia kwa sasa fedha yetu iko chini dhidi ya dola, nikiwa na 12M nadhani itani wezesha kuta gari nzuri zaidi, kuhusu kununua hapa tz sikirii kabsa, kuna mzee wangu fulan alinunua gari...
  6. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    Asante br, tatizo la bongo watu wapigaji sana, under 5M c nitapa gari choka mbaya,
  7. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    nitashukuru kama utanishauri br,
  8. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    Thax for the link brother, ni msaada sana
  9. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    Nime icheki BMW cif yake iko juu na gari yenyewe iko chini hivi, vp inawezana na road zetu za kibongo, maana mm niko mbeya sio Dar, na mishe zangu wkt mwingine natoka offroad.
  10. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    Dah! nashukuru man, so helpful
  11. N

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa magari

    BMW siipati vzr, unaweza nipa specification zake?
Back
Top Bottom