A is eee niliipata audio ya huu mti ni mti dume unafukuza wanaume ndani na unaleta mabalaa ndani ya nyumba mf madeni,magonjwa,vifo nk ,mi ninao wa mwenyenyumba hapa nawaza ntamwambiaje aelewe au niuwekee mafuta ya taa unyauke aseme tu situnzi nyumba take, maana madeni yananinyoosha walai