Mpaka hapo hujaona kati yako nayeye bos nani? Nakushauri mrudishe kwao lisijekupata jambo kubwa ambalo hutakaa usahau.
Kwa watu wa rohoni inaonekana ana cheo kukuzidi.
Wadau salaam. Nimeona tu nitoe mtizamo wangu juu ya zoezi la usafi linaloendelea hapa nchini.
Rais wetu mpendwa Dr. John P. Magufuli amefanya jambo la maana sana kwamba siku hii ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tutumie kwa kufanya usafi wa mazingira yetu.
Hofu yangu ni watu waliowengi...
Niko maeneo ya barabara ya tegeta bunju. Moshi mzito wa kuchoma takataka limetanda kila kona. nachelea tusije tukadhani tunafanya usafi kumbe tunafanya airpolution
Kuna madai keamba mwenge ulianzia ugiriki zamani sana na ilitumika kutukuza miungu ya kigiriki.
Mfano mwenge wa olympic. Kuna wqkati ulipitia china, likatokea tetemeko lililoua watu zaidi ya elfu hamsini.
Hapa bongo wanasema eneo linapolala mwenge mambo ya ajabu hufanyika ukiwamo uzinzi
Kwanini mahekalu ya obada huwekwa uzio na milabgo, tena vitasa vya ukweli. Nikuulize je Mungu anashindwa kutoa ulinzi? Kushangaa kiongozi wa dini kuwa na ulinzi ni sawa nakushangaa nyumba ya ibada kuwa na mlango au uzio.
Kama ni kwaajili ya kumlinda, kwani kuna shida gabi? Halafu umesema vijana wanatoka arusha na manyara lakini majina yaliyoandikwa hapo juu siyo ya ki kaskazini. Majina ya kikaskazini yanajulikana kama mafie, kaaya, mollel, tollway, masha, mosha, nk. Labbda mkatunge tena upya hiyo propaganda yenu.
Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo atutangulie, aondoe vikwazo vyote, na abatilishe hila za watesi wetu hata tufikie ukombozi kamili october 25. Kwa jina la Yesu kristo AMEN. PEEEEEEEPOOOOOOOOS POWEEEEEER
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.