Kuna jambo moja tu kuhusu hivi vitu,ni ngumu kumuelekeza mtu akaelewa,ni hadi yakukute..ni kama hivi tu umelekezwa na haujaelewa
Nikuambie tu kitu kimoja mkuu,kama kila kitu kwenye maisha yako kinaenda sawa,thank GOD.
alikuwa amekata tamaa ya maisha
Ukishakuwa na majukumu au malengo flani kwenye maisha,kuna baadhi vitu hauwezi hata kuvifikiria achalia mbali kuvitenda
Nimepitia mambo mengi sana ya ajabu-changamoto nyingi sana
Ni kijana mdogo tu miaka 27 lakini niliyopitia yanatisha.
Kwa sasa naona kabisa nimepoteza uwezo wa kujiamini,nashindwa kuisimamia misimamo yangu
Kila kitu naona kama kinafeli kabla hakijaanza.
Nashindwa kusimamia kile...
Namba 8 ni dalili ya kiburi..
Mtoto ukimuadhibu anapaswa kuomba msamaha,akimaanisha kuwa anajutia alichofanya.
Kulia zaidi maana yake anaonesha kuwa alochofanya ni sahihi na kuadhibiwa ni kuwa anaonewa
Jambo la kwanza,kubali hali kuwa tayari imeshatokea na huwezi kubadili hilo.
Jambo la pili, badili na boresha mienendo ya maisha yako..kula vizuri,vaa vizuri,lala sehemu nzuri,kimsingi jipende.
Jambo la tatu,tafuta sababu ya kuishi.kuna mdau amedokeza hapo juu..kuna watu wengi wapo nyuma yako...
Mkuu
A couple of days ago nilikuwa katika situation ngumu kidogo..na nilileteta uzi hapa..sasa sijui mods waliwaza nini wakafuta..
Lakini,MUNGU alinivusha katika namna ya kushangaza sana.
Put your trust on him,He will make a way
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.