Habari wakuu naombeni msaada wa namna ya kuanzisha car wash , faida yake ukiajiri kijana unalipaje au ukikodisha awe analaza shingapi kwa siku, pia changamoto zake.
Huo ni uongo usiseme mbeya sema kyla ndo ma ccm...... ila tunduma na mbeya mjini alikuwa anapita watu wanaimba lowasa ndo rais na ishara ya vidole viwil hapo ndo unasema wanamkubali??????
Hatudanganyiki ng'oooooooo
Kutokusoma kwake hotuba kwa muda mrefu ni kutokana na muda ambayo hawakutaka izid sa 12:00. Hivyo akasema kutokana na ufinyu wa muda atagusia vitu vichache lakin watu wasivyokuwa waelewa wanasema kisa ni mgonjwa... THINK TWICE
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu natafuta kaz ya ualimu wa hesabu.nina bachelor degree of mathematics.....mikoa ni kilmanjaro arusha au dar
Kwa mikoa mingine kuwe kuna malazi kutoka shule husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.