Tuache ushabiki hoja hii ni nzito sana na ina ukweli ndani yake.vyama vya upinzani vinatakiwa kuweka wazi vina wanachama wangapi na mtandao ukoje kuanzia mashina,matawi,kata,jimbo,wilaya,mkoa na Taifa.Chadema haina mtandao wa kutosha Vijijini je itachukuaje dola?ni nani atalinda kura zisiibiwe ?