Recent content by Namala Namaler

  1. N

    Daraja la Kigamboni linapewa sifa zisizo stahiki

    huckii kwa sababu hauishi ktk nchi zao, halafu sio mfuatiliaji sana wa maneno ya wakuu wao
  2. N

    Daraja la Kigamboni linapewa sifa zisizo stahiki

    cjui atakuwa mwanaume wa wapi huyu mketa mada?
  3. N

    Wema Sepetu na Idris Sultan wamwagana rasmi

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] !!
  4. N

    Chuo kikuu kipi ni bora kuliko vyote kati ya hivi Tanzania?

    huo ndo ukweli Chuo bora kuliko vyote hapa tz ni SUA
  5. N

    Kigali city introduces walk to work days,no cars on streets

    kwa hiyo wewe unaweza kutembea toka ubungo terminal had kibamba?
  6. N

    Kigali city introduces walk to work days,no cars on streets

    kwa hiyi wakigeuze tipa Lori la mizigo lebebe wagonjwa?
  7. N

    Bunju Beach na Mbweni kuipiku Oysterbay na Mbezi kwa mazingira mazuri ya kuishi

    Capri point kiwanja pekee tena unakuta miamba ya mawe tu kinasimama kuanzia 1b, hapo hujaweka gharama ya kung'oa au kupa kilipua hiyo miamba ya mawe kisha ndo uanze process ya kunjenga
  8. N

    Nimeamini kweli Dar es Salaam ndio Tanzania kwingine kote kijijini

    ndo maana nikasema Arusha inabebwa na taasisi binafs kama hao KKKT pamoja na serkali tofauti na Mwanza inayojibeba yenyewe paspo nguvu kubwa ya taasisi hizo kiujumla. Au unataka jibu gani labda
  9. N

    Bunju Beach na Mbweni kuipiku Oysterbay na Mbezi kwa mazingira mazuri ya kuishi

    hiyo Oysterbay na masaki ni cha mtoto kwa Capri point ya Mwanza,
  10. N

    Nimeamini kweli Dar es Salaam ndio Tanzania kwingine kote kijijini

    LAPF kitega uchumi chao kiko wapi mkuu, maana hata hiyo Rock City Moll ni mpango uliobuniwa na halmashauri ya jiji kama ckosei
  11. N

    Nimeamini kweli Dar es Salaam ndio Tanzania kwingine kote kijijini

    sasa KKKT c ndo mojawapo kati ya taasisi binafsi zinazojenga Arusha, pia HQ za EAC kuwa c ndo upendeleo wa serikali, kwann wacngeweka Mwanza ambayo iko vizuri zaidi kijiografia ktk kufikika kwa nchi zote za EAC.
  12. N

    Nimeamini kweli Dar es Salaam ndio Tanzania kwingine kote kijijini

    Kwakweli me nyumbani kwetu Kahama hakuko hivi, hata uswahilini ya nyumbani kwetu Kahama nikuzuri kuliko uswahili wa Dar
  13. N

    Nimeamini kweli Dar es Salaam ndio Tanzania kwingine kote kijijini

    hivi hivyo vyote unavovikataa kuwa havijachangia kukua kwa Arusha kama vicngekuwepo hapo Arusha pangekuwaje leo, halafu pia HQ za KKTT sio mandeleo, KKTT c ndo wanajenga mahospital makubwa kama Seriani, hivi HQ za EAC kuwa hapo sio maendeleo, HQ za ICC kuwa hapo kwa EA bado unakataa sio...
Back
Top Bottom