Vijana wenzangu pambaneni bila kukataa tamaa hakika inawezekana, niliacha kazi ya kuajiriwa mwaka 2016,
Nilipitia magumu, lakini sikukataa tamaa
Hakika safari ilikua ndefu sana,yenye Kila aina ya machungu,Leo hii nimesimama imara Nina vijana zaidi ya 31 wenye elimu zao ambao familia zao...