ATCL kama wameamua kufanya biashara ya kubeba abiria na mizigo wafanye kibiashara,inawezekana hasara inatokana pia na safari wanazofanya viongozi humu nchini na pia wanapotoka kwenda nje je huwa zinalipiwa?
Mimi nafikiri wanajaribu kuvuta muda tu kuitekeleza hyo ibara ya 37(3) ili hata kama anaumwa aweze pata nafuu, halafu katika hiyo ibara haijasema ktk kipindi ani akiumwa aweza kupewa mtu mwingine madaraka sasa ni wiki ya pili au tatu hajaonekana labda tusubiri zaidi atatokea
Nafikiri bunge lijalo litakuwa nibunge la Yes man hakuna hoja itakaletwa bila kupita,nahisi kushuhudia upitishwaji wa sheria za kipuuzi haijapata kutokea.Huu ni mpango wamungu tu au ni figisu za uchaguzi kuwaondoa wapinzani waongeaji wakubwa buneni.
Hili neno la mabeberu linapaswa kukemewa sana siyo sahihi kuwaita wale mabeberu hao hao mnekwenda kuomba wawape pesa za kununua dawa,kujenga stilers gauge na mambo mengine mengi tu.Kwa hiyo wao watuite sisi Ömba Omba"??
Apumzike tu huyu mzee ni janga la kitaifa,wenzie wote wamejitambua wapo tu kama observers,kwani vijana wanasiasa wamekwisha mpaka yeye tuuuuu miaka yote
hello kama mliweza kumpa lowassa dhamana kubwa nchini ya kugombeea Uraisi kwa tiketi ya CDM na alikuwa na miezi tu kwa nn sumaye asipewe nafasi ya kuwa mwenyekiti baada ya miaka minne
Ni sawa lakini andaa huo mwili kupasuliwa mara 23,na risasi kama 30 mwilini kila mtu na bahati yake na kusudio lamunu kwa mtu mwenzio bado mungu alikuwa na kusudio nae wewe Allah bado ana kusudio na wewe ???
Jamani tuongee ukweli,viwanda 4000 si mchezo!! nafikiri kuna umuhimu wa ku classify hivi viwanda maana tutakuja ambiwa mtu akiwa fundi seremala mradi ana machine ya kupasua mbao ni kiwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.