At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Nyinyi ndio mnafanya watu wawatusi.Kalinde kaburi huko, watu watalifukua kwa hasira wamcharaze bakora mzimu wenu.
Nenda kafanya kwa niaba yangu
Nyinyi ndio mnafanya watu wawatusi.Kalinde kaburi huko, watu watalifukua kwa hasira wamcharaze bakora mzimu wenu.
Serikali iko.Kwani wewe kaburi umemuwachia nani kulinda?
Wanabahati wanaongoza watu legelege.Mh Mbowe katika hotuba yake kwa Taifa pamoja na mambo mengine mengi aliyoyazungumza , pia alizungumza kwa msisitizo sana jinsi Bunge la Tanzania lilivyogeuzwa kuwa Muhuri wa kupitisha Sheria mbovu za ukandamizaji pamoja na kuunga mkono bajeti za serikali zenye makando kando .
Mbowe alitamka bila kumung'unya maneno kwamba Spika na Naibu wake waligeuzwa kuwa Watumishi wa serikali kwa kulazimishwa kuhudhuria kila hafla ya Magufuli , kama haitoshi Mbowe aliendelea kusema Spika na Wabunge wa ccm walihongwa pesa taslimu ili kupitisha bajeti na miswada ya hovyo , huku akisema anao ushahidi wa jambo hilo na akiombwa atauweka hadharani bila shaka yoyote ile .
Sasa swali langu dogo ni hili , ni LINI JOB NDUGAI atajitokeza hadharani kukanusha hili ama kulitolea ufafanuzi ?
Sasa ni wakati mzuri wa kuisambua Rubber Stamp Parliament ya Mwendazake ikiwezekana Uchaguzi urudiwe.
Unazungumzia wale waliokuwa wanazimia huku wameshikilia mifuko yao mikononi?Sheria kandamizi huwaathiri wananchi wengi wakawaida. Hivi ni hawahawa wanachi ambao walijitokeza kwa wingi(pengine haijawahi kutokea) kumsindikiza hayati JPM ktk safari yake ya mwisho ndiyo waliogandamizwa na sheria za awamu ya tano? Kama ni kweli kwamba watanzania hawa waliomsikitikia kwa kiwango kile ndiyo wanaogandamizwa na sheria hizo basi tunasafari ndefu sana mkuu.
Sheria kandamizi huwaathiri wananchi wengi wakawaida. Hivi ni hawahawa wanachi ambao walijitokeza kwa wingi(pengine haijawahi kutokea) kumsindikiza hayati JPM ktk safari yake ya mwisho ndiyo waliogandamizwa na sheria za awamu ya tano? Kama ni kweli kwamba watanzania hawa waliomsikitikia kwa kiwango kile ndiyo wanaogandamizwa na sheria hizo basi tunasafari ndefu sana mkuu.
Umemaliza kila kituHata yule mamba mla watu au simba akinaswa akauawa, wananchi kwa wingi wao watajitokeza kushuhudia.
Sasa Mungu amewageuzia kibaoHii nchi ilikuwa imefikia pabaya mno, kikundi cha watu wachache kilikuwa kinafanya kitakayo bila hofu woga wala aibu.... - ukifanya ngweeee kesho nyumbani familia haikuoni.