Ata mie ckuzsikia ata kdogo, baat nzuri nkazkuta um jf ndo nkawa updated...taarifa zote za habar hasa za tbc hua hazko upande wa mwananchi... Nimechunguza kwa wiki nzima taarifa lazma inasehemu inayosema hivi.."rais kikwete ame___" na "serikali imechukua hatua za__" badala ya kuweka pia taarifa...
samahan mkubwa.. Sio dk kikwete ni mheshmiwa kkwete unaposema daktari kwa great thnkers unamaanisha elimu ya m2...2mpe udaktari kwasabab ya kua na uwezo wa kuzurula dunia nzima..bas 2mpe uraia wa dunia....iyo gharama ya kwenda nje kila siku ingenunua matrekta mangapi ya wakulima we2, bdo haendi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.