Pole sana ndugu, kweli kuna changamoto kubwa sana kazi kwa miaka hii.kuna jamaa nmfamu ni graduate anafanya kazi za ulinzi. Ambayo kwa kwa graduate ni kwamba amefanya maamuzi magumu. Kwa nyakati hizi kabla hujafanya lolote ni lazima kuangalia jamii iliyokuzunguka inahitaji nini, ukaweza ku solve...
Benki pekee inayorudisha bima wakati ukimaliza mkopo ni Standard charterd.
Wiki iliyopita nilitoa maoni yangu kwa bank nyingine kwamba walifikirie jambo hilo.
Wewe nyamaza kama hutaki kuchanga,kwa nini useme sijui kina lowasa wawaite Rafiki zao wachache wachange.wale watu waliojaa Dodoma General hospital jana waliitwa nani, au walikuwa viongozi wa chdm?Watu tuna mapenzi na Tundu Lisu kibali cha kupenfwa MTU hutolewa na Mungu.
Hiyo ni kweli kabisa,alhamisi iliyopita tulipata shida kupata picha ya marehemu,ikabidi tuchague picha ifanyiwe mambo kwenye computer ndiyo angalau tukapata sura yake.nilijifunza kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.