Mcheulishe kila akila anaponyonya
Akimaliza kuogeshwa mfanyie massage tumboni na mafuta ya nazi uliyopekecha mikono ili iwe ya moto then unamkanda kanda tumbo.
Mama yake asile vyakula vya gesi aongeze kula matango na matikiti , chakula anachokula mama ndo mtoto ananyonya kama kina acid nyingi...
Hakuna ibada inayokamilika bila sadaka, na hata wanaoamini ushirikina wanatoa sadaka ngumu sana kuliko ambazo tunamtolea Mungu wa kweli aliye hai na sadaka na ibada kati ya Mtu na Mungu wake.
Mungu alipoumba mwanadamu au malaika aliweka utashi na uhuru wa kuchagua, jiulize kuhusu tunda la kujua mema na mabaya kwa nini aliliumba maana uwezo wa kutoliumba alikuwa nao na angeweza kufanya hivyo kama angeliamua.
Lakini liliwekwa kama kipimo cha utii ambayo ndo ibada anayotaka kwetu...
Jamani Dogo alitamka wazi kuwa mhudumu na abiria walikuwa wanapambana kufungua mlango ila pressure ya maji nje ilikuwa kubwa na hivyo akawasaidia kufungua kwa kuvuta na kasia huku ndani nao wakiwa wanapambana na wakafanikiwa. Na kingine kitendo cha yeye kupambana mpk kuhatarisha maisha yake bado...
Padri inawezekana kweli kabaka kwa maana ya kutembea na mtoto wa miaka 12 ila nachelea kusema huyo mtoto ni mzoefu tena sana maana angekuwa bikra asingeweza kuhimili maumivu na asingekuwa flexible kwa hizo style za huyo padri mpumbavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.